Mkuu ulikutana na dada ambaye ametoka mwezini au akiwa mwezini ndio maana imekuwa hivyo,inaelekea utakuwa na busha kubwa mtaa mzima cha kufanya ili hilo lisitokee chukua unga wa tangawizi vijiko viwili kisha chemsha maji ya moto uchanganye kisha yapoe unywe kwa mkupuo fanya hivyo siku tatu kila asubuhi kisha ulete mrejesho.