Korogwe: DC Jokate apokea kompyuta zenye thamani ya Shilingi milioni 92

Korogwe: DC Jokate apokea kompyuta zenye thamani ya Shilingi milioni 92

JUMA JUMA

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
790
Reaction score
964
Mkuu wa Wilaya Korogwe Mhe. JOKATE MWEGELO apokea Vifaa vya TEHAMA katika Shule 6 wilayani Korogwe vyenye Thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 92 kutoka kampuni ya Vodacom Tanzania.

IMG-20230309-WA1208.jpg

IMG-20230309-WA1209.jpg
IMG-20230309-WA1205.jpg
IMG-20230309-WA1203.jpg
IMG-20230309-WA1202.jpg
IMG-20230309-WA1202.jpg
 
Mkuu wa Wilaya Korogwe Mhe. JOKATE MWEGELO apokea Vifaa vya TEHAMA katika Shule 6 wilayani Korogwe vyenye Thamani ya zaidi ya Shilingi Milioni 92 kutoka kampuni ya Vodacom Tanzania.
Mod's hamuiyoni hiyo KORONGWE mkaondoa N Mungu anawaona!
 
Mod's hamuiyoni hiyo KORONGWE mkaondoa N Mungu anawaona!
Wanashangaa taarifa haijakamilika, idadi ya computer zilizotolewa ili tuweze kuthaminisha bei ya kila 1 itakuwa shilingi ngapi.

Unaweza kuta ni computer 20 tu kwa mil. 92!

Wana Jf watasema inamaana computer ni 1 ni mil. 4.6
 
Back
Top Bottom