Korogwe: Gari ya marehemu imetelekezwa barabarani

Korogwe: Gari ya marehemu imetelekezwa barabarani

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,587
Korogwe Mjini, Tanga Karibu na Magereza, Kuna raia alikuwa na gari private akisafiri kuelekea Moshi kutokea DSM. Gari ilipata ajali barabarani kabisa kabisa na bar maarufu iitwayo the spirit, karibu na Magereza Korogwe.

Abiria alipelekwa Hospital ya Wilaya Magunga na akafariki the same day. Baadae akawekwa Mochwari kwa siku 7 then akazikwa Korogwe baada ya kukoseakana ndugu kumtambua.

Sasa gari ipo barabarani ya silver na inatolewa vitu kidogo kidogo roughly.

Shida sana.
 
Walishindwa hata kumtambua mmiliki wa hiyo gari ni nani??

Vipi kuhusu kuitumia simu yake kuwapata ndgu, jamaa au marafiki!??

Hata mitandao ya kijamii nayo haikuwasadia kumtambua jamaa, so sad.
 
Gari ilipata ajali tayari hiyo ni kesi ya polisi usalama barabarani,nilitegemea abiria anapelekwa hospitali na gari inakokotwa kwenda kituo cha polisi ambapo kwa ufahamu wangu ni mita kadhaa kutokea ajali ilipotokea.

Labda labda tuseme ndio mgomo wa chini chini wa wazee wa kofia nyeupe.
 
Walishindwa hata kumtambua mmiliki wa hiyo gari ni nani??

Vipi kuhusu kuitumia simu yake kuwapata ndgu, jamaa au marafiki!??

Hata mitandao ya kijamii nayo haikuwasadia kumtambua jamaa, so sad.
Tanzania ni nchi hovyo sana, Utakuta TRA hawajui hiyo gari ni ya nani, Polisi nao hawana Taarifa, basi tu mradi tunaishi
 
Inasikitisha sana, traffic case,polisi kitengo cha usalama barabarani walishindwa kuwajibika kwa kulipeleka gari polisi?

Maiti ya dereva,kwanini waiweke siku saba tu,wakati maiti za watu mbalimbali hukaa muda zaidi ya huo?

Rejea mwili wa baba yake Hans Pope,ulikaa Uganda miaka na miaka mingi sana,na ndo ukaja kuzikwa huku, trafiki naona kama wanaweka mgomo flani hivi,kutokana na kauli za wanasiasa.R.I.P.
 
Korogwe Mjini, Tanga Karibu na Magereza, Kuna raia alikuwa na gari private akisafiri kuelekea Moshi kutokea Dsm. Gari ilipata ajali barabarani kabisa kabisa na bar maarufu iitwayo the spirit...
Weka picha tuone usajili
 
Back
Top Bottom