Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Tarehe 23/1/2022 majira ya saa 1 usiku kuna kijana wa bodaboda aligongwa na Isuzu Tipper barabara kuu ya Moshi Dsm eneo la Mwembeni na kufariki papo hapo.
Marehemu alijeruhiwa kichwani na kumwaga ubongo wote barabarani. Mpaka leo 26/1/2022 bado kuna masalia mengi ya ubongo na nywele za marehemu.
Hata ukipita kwenye basi unaona kabisa.
Ni huzuni kubwa sana (RIP).
Halmashauri ya Mji Korogwe ina Mamlaka zinazoweza kutoa uchafu ule pale barabarani. Wana kampuni za kufanya usafi Mjini n.k.
Tumheshimu marehemu aisee.
Marehemu alijeruhiwa kichwani na kumwaga ubongo wote barabarani. Mpaka leo 26/1/2022 bado kuna masalia mengi ya ubongo na nywele za marehemu.
Hata ukipita kwenye basi unaona kabisa.
Ni huzuni kubwa sana (RIP).
Halmashauri ya Mji Korogwe ina Mamlaka zinazoweza kutoa uchafu ule pale barabarani. Wana kampuni za kufanya usafi Mjini n.k.
Tumheshimu marehemu aisee.