Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wokozi na zima moto kwelii? [emoji848] Maana hii nchi ukiritimba mwingi kwenye hizi mamlaka na idara zaoNi mamlaka ipi inahusika hapo kuzoa huo ubongo?.
Nani alikwambia tunakula ubongo wa binadamu ?Hivi Kunguru wa Korogwe wako likizo?
Mbona hapa Temeke Bodaboda akimwaga Ubongo Kunguru wa Dar wanasafisha mara moja.
[emoji28][emoji28][emoji28]Nani alikwambia tunakula ubongo wa binadamu ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nani alikwambia tunakula ubongo wa binadamu ?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hii taarifa ingefaa iwekewe caution sign ... ni very sensitive na sio kila mmoja aweza kuvumilia kuisoma.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kukosa heshima tu kwa marehemu ndo kunakokusumbua sababu ya kukosa uzoefu wa tafsiri ya neno maiti.Ni uchafu tu haijalishi ungekuwa barababrani au mochwari au kaburini. Binadamu ukishakufa hauna thamani tena, msijifariji kijinga.
Wakishauzoa wanaenda kuunganisha na mwili wa marehenu au?.Sio wokozi na zima moto kwelii? [emoji848] Maana hii nchi ukiritimba mwingi kwenye hizi mamlaka na idara zao