Huo ugonjwa naona wengi sana wanao, nenda duka la dawa watakusaidia...
Jaribu kuangalia kwenye kioo angalia Kama
Ni jekundu, unaweza ukawa umepata maambukizi tu hivo tumia antibiotic mfano ampicillin!! 2/3 nusu dozi tu inatosha Mie ilinisaidia!! Ilifikia kipindi siwezi kumeza chochote maumivu makari sana!!