Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Serikali ya CCM chini ya Rais Magufuli kwa miaka minne imekuwa ikiwadanganya wafanyakazi juu ya kuwaongeza mishahara Yao.
Wakati wanapiga kampeni CCM na Rais Magufuli waliwaahidi wafanyakazi kwamba watawaongeza mishahara Yao lakini kila mwaka Rais Magufuliakialikwa kwenye sherehe za meimosi anaongea vitu ambavyo wafanyakazi wenyewe hawavielewi.
Leo ni Mei mosi Rais Magufuli anafunga miaka yake mitano ya kuwapiga sound wafanyakazi nadhani korona Leo itakuwa kisingizio kwasababu hatakutana nao uso kwa uso hivyo nyani (wafanyakazi) watauwawa bila huruma kwani hawatakuwa na eye contact na mkulu.
Poleni wafanyakazi ila pigeni mzigo malipo ni kwa Mungu baba.
Wakati wanapiga kampeni CCM na Rais Magufuli waliwaahidi wafanyakazi kwamba watawaongeza mishahara Yao lakini kila mwaka Rais Magufuliakialikwa kwenye sherehe za meimosi anaongea vitu ambavyo wafanyakazi wenyewe hawavielewi.
Leo ni Mei mosi Rais Magufuli anafunga miaka yake mitano ya kuwapiga sound wafanyakazi nadhani korona Leo itakuwa kisingizio kwasababu hatakutana nao uso kwa uso hivyo nyani (wafanyakazi) watauwawa bila huruma kwani hawatakuwa na eye contact na mkulu.
Poleni wafanyakazi ila pigeni mzigo malipo ni kwa Mungu baba.