Korona imeiokoa Serikali (Mtazamo wangu)

Korona imeiokoa Serikali (Mtazamo wangu)

Wengi tulishafahamu kitambo hakuna kitakacho tokea. Ameanzisha mamiradi mengi makubwa na ambayo yanakomba tu hela zetu za ndani na kuzipeleka nje.

Baadhi ya watu wanafurahia sana wafanyakazi kuishi maisha magumu! Wamesahau ya kwamba karibia kiasi chote fedha za hao wafanyakazi wanazopata kama mishahara au hata mikopo, huziingiza tena mtaani kupitia manunuzi mbalimbali au kusaidia familia zao, nk. na hivyo kuendeleza mzunguko wa fedha kwa makundi mbalimbali.

Makosa ya kujenga mamiradi makubwa na kwa fujo, hata Nyerere aliyafanya enzi zake, na mwisho wa siku yalitugharimu kama Taifa. Unaweza ukawa na nia njema kabisa ya kufanya kitu, ila njia utakayoitumia ndiyo itakayo kutofautisha wewe na mwingine. JK alifanya yote kwa pamoja, ila mwenzangu na mimi yeye anawaza miundombinu tu.
Eti mamiradi mengine yanafanywa si kwa faida ya walipa Kodi wa sasa eti kumuenzi mtu aliyepita ambaye aliishi dunia iliyopita ambae kizazi cha sasa akimjui na wala hakina haja ya kumjua ili kiishi.
 
Wengi tulishafahamu kitambo hakuna kitakacho tokea. Ameanzisha mamiradi mengi makubwa na ambayo yanakomba tu hela zetu za ndani na kuzipeleka nje.

Baadhi ya watu wanafurahia sana wafanyakazi kuishi maisha magumu! Wamesahau ya kwamba karibia kiasi chote fedha za hao wafanyakazi wanazopata kama mishahara au hata mikopo, huziingiza tena mtaani kupitia manunuzi mbalimbali au kusaidia familia zao, nk. na hivyo kuendeleza mzunguko wa fedha kwa makundi mbalimbali.

Makosa ya kujenga mamiradi makubwa na kwa fujo, hata Nyerere aliyafanya enzi zake, na mwisho wa siku yalitugharimu kama Taifa. Unaweza ukawa na nia njema kabisa ya kufanya kitu, ila njia utakayoitumia ndiyo itakayo kutofautisha wewe na mwingine. JK alifanya yote kwa pamoja, ila mwenzangu na mimi yeye anawaza miundombinu tu.

Awamu ya Miundombinu hii,huu ni muda wa akina mfugale&associates.
 
Taifa kuingia kipato cha kati tuanzie kwenye mishahara.
 
Wengi tulishafahamu kitambo hakuna kitakacho tokea. Ameanzisha mamiradi mengi makubwa na ambayo yanakomba tu hela zetu za ndani na kuzipeleka nje.

Baadhi ya watu wanafurahia sana wafanyakazi kuishi maisha magumu! Wamesahau ya kwamba karibia kiasi chote fedha za hao wafanyakazi wanazopata kama mishahara au hata mikopo, huziingiza tena mtaani kupitia manunuzi mbalimbali au kusaidia familia zao, nk. na hivyo kuendeleza mzunguko wa fedha kwa makundi mbalimbali.

Makosa ya kujenga mamiradi makubwa na kwa fujo, hata Nyerere aliyafanya enzi zake, na mwisho wa siku yalitugharimu kama Taifa. Unaweza ukawa na nia njema kabisa ya kufanya kitu, ila njia utakayoitumia ndiyo itakayo kutofautisha wewe na mwingine. JK alifanya yote kwa pamoja, ila mwenzangu na mimi yeye anawaza miundombinu tu.
Huyo bado waziri wa miundombinu inabidi tuanze kumtafuta mwinyikulu.
 
Aliekudanganya wafanyakazi hawajaongezwa mishahara kakudanganya,sekta zote za.serikali wameongezwa mishahara kimyakimya,na wanalipwa kwa wakati ,na ndio maana wapo kimya ,lengo lilikuwa wafanyabiashara wanatabia serikali ikiongeza mishahara na wao hupandisha bei,lengo ni kudhibiti mfumuko wa bei,

Kwakua wewe ni jobless hii mada inakuzidi kimo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo serikali inawaogopa wafanyabiashara? Mimi mbona sijawahi ona ongezeko la mshahara. Au mumeo kakudanganya kuwa kaongezewa mshahara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom