Korona imeiokoa Serikali (Mtazamo wangu)

Eti mamiradi mengine yanafanywa si kwa faida ya walipa Kodi wa sasa eti kumuenzi mtu aliyepita ambaye aliishi dunia iliyopita ambae kizazi cha sasa akimjui na wala hakina haja ya kumjua ili kiishi.
 

Awamu ya Miundombinu hii,huu ni muda wa akina mfugale&associates.
 
Taifa kuingia kipato cha kati tuanzie kwenye mishahara.
 
Huyo bado waziri wa miundombinu inabidi tuanze kumtafuta mwinyikulu.
 
Kwa hiyo serikali inawaogopa wafanyabiashara? Mimi mbona sijawahi ona ongezeko la mshahara. Au mumeo kakudanganya kuwa kaongezewa mshahara?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…