Korona: Watanzania Tujilinde, Serikali inajali Uchumi kuliko Uhai wenu - Zitto

Serikali inajifanya masikini jeuri kumbe chini kwa chini inawalamba miguu mabeberu, inaomba samahani, inaomba radhi.

Chini kwa chini inabembeleza isamehewe ila huku nje sisi matajiri, sisi nchi huru hatupangiwi, sisi donor country, 😂😂😂.

Tumesema sana hii mikopo mnayochukua kutoka kwenye taasisi za kibiashara ni ghali sana, utasikia deni ni himilivu, nchi bado inakopesheka kumbe mnaficha madeni wa wafadhili wenu, sasa yamewafika kooni mmeenda kuwalamba makalio.

Uongozi ni akili.
 
Huu ugonjwa utaua watanzania wengi na mbaya zaidi itakuwa mwendo wa kimya kimya! Nina uhakika aliyezembea wakwanza ambaye mnamuabudu atakufa kwa huu ugonjwa

Mbona yale matakwimu ya vifo kwa kigogo hayapo tena kulikoni?
 
Hao watu 3% wamekufa wapi? Watu wote wa mkoa wa Njombe wafe afu hali iwe kama ilivyo, Subutuuu.

Kwa hili, nampongeza Raisi, he was a visionary.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nani amekuambia Corona imekwisha duniani? Ugonjwa huu hauna mipaka na haupokei amri toka kwa mtu yoyote, kumbuka Waziri Mkuu wa Uingereza aliugua na maana wa mfalme wa Uingereza naye aliugua.
MAISHA YAKO YAKO MIKONONI MWAKO.
 
Ahsante Zitto kwa hizo taarifa chache ulizozitoa "descriptively". Kuna haja pia ya kuzifanyia kazi hizi takwimu zaidi ya hivi ulivyoweka "descriptively" ili kuweza kuwa na hoja dhahiri ya matokea ya corona katika uchumi wa nchi. Bahati mbaya hii si kazi yako wewe kama mwanasiasa. Sijui wana zuoni wetu wamepotelea wapi! Dunia nzima kwa sasa, sekta ya elimu inatia nguvu hasa kwenye mjadala kuhusu corona. "Journals" sasa hivi zinachomeka "special issues" ili tu kutoa mwanya kwa watu kuandika kuhusu corona. Ajabu taasisi zetu za elimu ya juu, zimekalia tu kutengeneza madishi ya kuoshea mikono, sanitizers na barakoa!
 
Mkuu Kitaturu, kongole sana,kwa mara nyingine tena,umeutendea haki uumbaji wako,na hakika uliumbwa kwa mfano wa Mungu Mwenyezi,Jehova Rapha,Yahweh,Alfa na Omega.
Laiti kama macho yasomayo haya maandiko yako,na ubongo uchakatao haya maandiko,vingefuata haya maandishi,tungekuwa sehemu salama kabisa.
Wenye mamlaka nawaomba mpite hapa mjifunze kitu.
Mungu akubariki.
 
Hao watu 3% wamekufa wapi? Watu wote wa mkoa wa Njombe wafe afu hali iwe kama ilivyo, Subutuuu.

Kwa hili, nampongeza Raisi, he was a visionary.

Sent using Jamii Forums mobile app
100% naunga mkono Zitto ni mchochezi na msaliti wa Taifa. Hivi huyu kimbelembele haoni juhudi kubwa zilizofanya? Anataka nini? Haya wewe Msaliti wa taifa na pia wanasema ni kigagula kweli kweli soma hapa juhudi za zilizofanyika:

1. Kufunga shule na vyuo.
2. Kutia moyo na kutuondolea hofu kuwa koona ni kaugonjwa kadogo.
3. Kuomba tufanye maombi ya siku 3 koona iishe.
4. Wizara ya Afya imefanya siku moja ya kitaifa ya kuombea koona.
5. Imepima koona kwenye mapapai, kwale, mbuzi na oil
6. Imesitisha taarifa ya koona kuwakomoa mabeberu
7. Kimetanza kujifukizia/nyungu
8. Imepeleka ndege kufuata dawa ya asili ya koona Madagascar
9. Imesisitiza watu kutumia vitunguu swaumu, ndimu, malimao n.k
10. Imefunga mipaka na Kenya kuzuia hujuma ya utalii.

Yote haya Zitto huyaoni unataka nini tena??
 
"Kiongozi mkuu wa ACT Wazalendo! Hiki cheo kizuri sana, huchaguliwi, huteuliwi, you're just there, KIONGOZI MKUU WA ACT WAZALENDO!
Umesikia na cheo cha Nkurunzinza huko Burundi!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…