Kosa alilofanya Kikwete 2005 na bado anafanya!

Kosa alilofanya Kikwete 2005 na bado anafanya!

Kwakweli waTZ tulikosea sana kumpa madaraka ya urais huyu mkwere! Hakuwahi kuwa serious in anything kabla ya urais na bado kaendelea kuwa vile alivyokuwa! Cha ajabu bado kuna watu wanamuona eti aendelee kuwa rais kwa kipindi kingine kwa utaratibu wa utamaduni wa CCM... hizi ni fikra mgando!

pengine huu ni utamaduni wao ndani ya ccm kama alivyosema mzee malecela na chiligati ! lol
 
Pasco mi nimeshasema na ninarudia: niko radhi kumpigia kura Mtikila kuliko Kikwete! I really mean it. Na ni lazima tuwaeleza wananchi kwamba anything is better than what we have now!! Nobody can screw up more than Jk just did in 5 years! Believe me! Tulikuwa tunauziwa kila siku oh upinzani haujui kuendesha nchi blah! Na we unasema hakuna serious alternative. Sorry, but I don't get it, is JK any choice let alone a serious choice? NO! Does he know what he is doing? NO! does his government know what it is doing? NO! Has the opposition shown more understanding of national issues? YES! Sasa huna sababu ya kumpa kura yako Kikwete... eti hakuna serious alternative... this president is a JOKE!

Susuviri, This is what Tanzania need. Currently we just need a transitional leader other than JK from there we can stabilise not with JK!
 
Mwanakijiji,Mkuu nadhani hapa unachanganya kidogo kwa sababu Kikwete ameingia mardarakani kwa kutoa ahadi ya kuendeleza yale ya Mkapa..Na tukamchagua.
Ajabu ni kwamba tulitegemea atafanya tofauti sijui kwa fikra au vigezo gani!..
Kusema kweli mimi nawashangaa nyie/ sisi Wadanganyika kwani CCM na Kikwete walisema wazi kwamba wataiuza nchi tena sabfari hii kwa nguvu, kasi na ari mpya...
Na mwanzo wa nguvu hizo ndipo tulishtuka, na kuanza kufuatilia kesi za Richmond na kadhalika..
It's only through nguvu zetu wenyewe tumejiweka ktk nafasi hii na nadhani jambo la muhimu kwetu ni kuchagua chama kingine (maneno ya Susuviri) kwa sababu hakuna kiongozi CCM anayeweza kupita uchaguzi ikiwa atakuwa na dhamira tofauti na malengo ya chama ktk Kuiuza nchi!..
Sasa wewe nambie ana kosa gani ktk kuuza nchi kiasi kwamba wanaCCM wenyewe wanaona ni makosa?..
 
Mkandara, nakubaliana nawe kuwa JK machoni mwake na chama chake hajafanya kosa kwani katika akili zao wanachokifanya ni business as usual. Siku zote walikuwa busy doing what they do na tumeendelea kuwachagua, so they take this as a seal of approval from the people. Hata sasa hivi wapambe wake wanadhani criticism zetu ni 'chuki binafsi' utafikiri tunamfahamu personally rais, kumbe tunajaribu kusogeza mbele gurudumu la maendeleo.
 
Ni kuendelea na mambo yale yale ya serikali ya Mkapa. Kutokuanza upya kuelekea ujenzi mpya wa taifa la kisasa. Ni kutokukata ile kamba inayomuunganisha yeye na Mkapa na hivyo kuendelea na mtindo ule ule wa uongozi.

Leo hii, kwa kiasi cha kutisha hadi tripu zake za nje (kama nilivyodokeza mwaka jana alipokuja NY) zinaendelea kutumika kama mitaji ya watu wachache.

Kosa hili ni vigumu kulisahihisha kwa kadiri ya kwamba watu aliohusiana nao 2005 na wale waliomwingiza madarakani wakati ule bado wana nguvu kuliko wale tunaowadhaniwa kuwa ni watetezi wa taifa na wanaoongoza vita dhidi ya ufisadi. Kikwete bado hajavunja mahusiano nao, kwani hawezi kuvunja mahusiano hayo. Na endapo akiamua kuvunja mahusiano hayo sasa basi ni kweli hatosimama kama mgombea 2005.

Hata hivyo, kama ilivyokuwa kwa Mkapa, kuna mambo ambayo Jk na washirika wake wanayafanya sasa na siku moja itabidi wayatolee maelezo. Tanzania inahitaji kuanza upya si kuendeleza ya zamani kwa kasi mpya, ari mpya na nguvu mpya.

Kikwete hawezi kuanza upya kwani yeye mwenyewe amefungwa na kamba za fikra za zamani!

That is whats up!

Nina uhakika unachuki binafsi na JMK.

Huna jipya, kila afanyacho kwako si kitu.

Utajenga taifa jipya bila kufuta ujinga? huwezi!

Na alichokifanya JMK kwa katika muda mchache aliokuwepo madarakani kwenye nyanja ya elimu si rais wa awamu yeyote aliewahi kufanya hivyo, au hilo hujaliona?

Na sasa mazahanati, na mabarabara yote yaliyowashinda wa kabla yake anayafanya tena kwa kasi ya ajabu!

Unakumbuka JMK alivyoingia madarakani, ukitoka Dar Kwenda Mwanza ilikuwa njia rahisi ni kupitia Kenya? Nenda leo kaone, zimebaki KM 70 baina ya Dar na Mwanza ambazo si lami na ziko kampuni mbili zinamalizia baada ya muda si mrefu. na hicho kipande kibovu kinapatika msimu wote.

Wacha chuki binafsi, uwe mkweli kidogo kwenye nia yako!

Napenda kukuukiza, Jee nia yako huwa haikusuti? kwa kuzuwa ya kuzuwa kila kukicha?
 
Nina uhakika unachuki binafsi na JMK.

Huna jipya, kila afanyacho kwako si kitu.

Utajenga taifa jipya bila kufuta ujinga? huwezi!

Na alichokifanya JMK kwa katika muda mchache aliokuwepo madarakani kwenye nyanja ya elimu si rais wa awamu yeyote aliewahi kufanya hivyo, au hilo hujaliona?

Na sasa mazahanati, na mabarabara yote yaliyowashinda wa kabla yake anayafanya tena kwa kasi ya ajabu!

Unakumbuka JMK alivyoingia madarakani, ukitoka Dar Kwenda Mwanza ilikuwa njia rahisi ni kupitia Kenya? Nenda leo kaone, zimebaki KM 70 baina ya Dar na Mwanza ambazo si lami na ziko kampuni mbili zinamalizia baada ya muda si mrefu. na hicho kipande kibovu kinapatika msimu wote.

Wacha chuki binafsi, uwe mkweli kidogo kwenye nia yako!

Napenda kukuukiza, Jee nia yako huwa haikusuti? kwa kuzuwa ya kuzuwa kila kukicha?
Hahahahahahahahaaaaaa mkuu, hebu soma post yangu above your post! You clearly walked into it, kwani umeanza kwa kusema eti Mwanakijiji ana chuki binafsi, lakini I preempted you na wapambe wengine.
Naomba muache mawazo kama haya na muanze kutafakari. Hatumfahamu personally huyo rais wenu, sasa tutamchukia sababu gani?
 
Na alichokifanya JMK kwa katika muda mchache aliokuwepo madarakani kwenye nyanja ya elimu si rais wa awamu yeyote aliewahi kufanya hivyo, au hilo hujaliona?

Na sasa mazahanati, na mabarabara yote yaliyowashinda wa kabla yake anayafanya tena kwa kasi ya ajabu!

Unakumbuka JMK alivyoingia madarakani, ukitoka Dar Kwenda Mwanza ilikuwa njia rahisi ni kupitia Kenya? Nenda leo kaone, zimebaki KM 70 baina ya Dar na Mwanza ambazo si lami na ziko kampuni mbili zinamalizia baada ya muda si mrefu. na hicho kipande kibovu kinapatika msimu wote.

Just to set the record straight - JK hajafanya kitu chochote kipya katika sekta ya elimu bali ni MWENDELEZO wa policy ya Mkapa na mpango huu wa elimu ulitungwa 2000 - 2002 na ilikuwa part of HIPC. BTW reform ilianza na primary schools na alipoondoka madarakani Mkapa, wizara ilikuwa inaextend to secondary schools. Hakuna policy mpya iliyotungwa. Kwa hiyo achievement yoyote SIYO achievement ya Kikwete.
Barabara zote zinazojengwa na TANROADS ni mipango iliyopangwa for 20 years na utaratibu wote wa kupokea fedha za wafadhili, usimamizi wake chini ya TANROADS ni structure iliyoachwa na... MKAPA so again nothing new ni mwendelezo wa policy za MKAPA, again NOT the achievement ya Kikwete.
So tell me what innovative things has JK done?????? Acha kutumia achievement za wengine ili kuimba nyimbo za bosi wako.
 
Just to set the record straight - JK hajafanya kitu chochote kipya katika sekta ya elimu bali ni MWENDELEZO wa policy ya Mkapa na mpango huu wa elimu ulitungwa 2000 - 2002 na ilikuwa part of HIPC. BTW reform ilianza na primary schools na alipoondoka madarakani Mkapa, wizara ilikuwa inaextend to secondary schools. Hakuna policy mpya iliyotungwa. Kwa hiyo achievement yoyote SIYO achievement ya Kikwete.
Barabara zote zinazojengwa na TANROADS ni mipango iliyopangwa for 20 years na utaratibu wote wa kupokea fedha za wafadhili, usimamizi wake chini ya TANROADS ni structure iliyoachwa na... MKAPA so again nothing new ni mwendelezo wa policy za MKAPA, again NOT the achievement ya Kikwete.
So tell me what innovative things has JK done?????? Acha kutumia achievement za wengine ili kuimba nyimbo za bosi wako.

Chuki binafsi hiyo! kwanini asiyafanye yeye Mkapa mpaka ifikie Rais mwingine ayafanye tena kwa record time?

Huna hoja ya maana ila ni chuki binafsi tu kwa JMK. Mwenye macho haambiwi tazama, na chuo cha DOM. World Record.

Kuwa na wazo na kutenda ni vitu viwili tofauti! JMK ni mtendaji na matokeo tunayaona na anastahili sifa kwa hilo.
 
Last edited by a moderator:
Chuki binafsi hiyo! kwanini asiyafanye yeye Mkapa mpaka ifikie Rais mwingine ayafanye tena kwa record time?

Huna hoja ya maana ila ni chuki binafsi tu kwa JMK. Mwenye macho haambiwi tazama, na chuo cha DOM. World Record.

Kuwa na wazo na kutenda ni vitu viwili tofauti! JMK ni mtendaji na matokeo tunayaona na anastahili sifa kwa hilo.

You really crack me up, mkuu! Are you for real? Sawa mkuu, naona hakuna cha ku-debate maana umeipeleka katika direction ya chuki binafsi. Ulipoona point zako zimepigwa chini umekuja na hoja nyingine ya University of Dodoma.
Sasa naomba niulize, kwa hiyo JK alipofungua National Stadium na rais wa China, hiyo pia ni achievement yake au?
Ujenzi wa nchi haufanyiki eti kwa world record time kama unavyodai kwani ina maana haina foundation. Ukijenga kitu lazima ufanye reform ubadilishe foundation alafu ndo ujenge juu yake kwa hiyo inawezekana ukawa umeshaondoka lakini watu wakamaliza kuezeka, lakini mwezekaji hawezi kusema amejenga nyumba. Umenipata, mkuu?
Naomba nikupe kazi kidogo, mkuu, unilete NEW and VISIONARY policies za JK... na usiniambie SACCOS (maana siku zote iko at hand) because that was not a new policy. Kwikwikwiiii!
Ngoja nikupishe uendelee na kazi yako .... fagilia tu mkuu!!
 
Cha maana alichofanya ni hiyo DOdoma University hapo lazima tumsifie ni kitu kizuri, lakini barabara na shule za secondary siyo kazi yake, ni pesa za wafadhili zilizokuwa tayari kweny program ya 20 yrs, hivyo haikuwa possible kwa Mkapa kumalizia wakati muda wake madarakani ni only 10 yrs, na ndiyo maana Kikwete kaja na kumalizia. So siyo miradi yake hiyo, tunataka miradi aliyoanzisha kama yeye kwa manufaa ya nchi na wananchi wake.

Itaje hapa usilalamike tu kwamba chuki binafsi, toa data then watu tutaangalia kama ni chuki binafsi au ni kweli.
 
Watu kama hawa ndio wanaorudisha nyuma ndoto zote za maendeleo Tanzania.
Bluray, nimetoa hoja, nikaitetea hoja yangu, ijadili hoja, iunge mkono hoja, ibomoe hoja, ama jenga ya kwako uitete sio kuanza kuja na hoja ya 'watu hawa'
 
Kama kawaida ya nabii.... Wayahudi walimsulubisha.
Kwenye uchaguzi ni mambo ya choice 'choose your love, and love your choice' inapotokea you don't get what you want, just take what you get even if its not your choice na hapa ndipo you can't love your choice na kazi inabaki ni moja tuu, kumsulubisha.

Pamoja na mapungufu yote ya JK, ndiye aliyepo na kutokuwepo any serious alternative, tutanchagua tena kwa kishindo huku tukiendelea kumsulubisha kwa kelele ambazo kwayo yeye ni za mlango tuu, hazimkoseshi uzingizi wake wa kusubiri kustaafu kwa amani 2015!.

Pasco,
You have said it all.
Umehitimisha vema kabisa.Kama ni kelele zinapigwa sana.. na bado hali itabakia vilevile - nothing will happen.
Tusubiri divine intervention labda maana nani ameweza kwenda a step further beyond kulalama, kulaani, kulaumu, kukejeli?
 
Last edited:
Pasco,
You have saidi it all.
Umehitimisha vema kabisa.Kama ni kelele zinapigwa sana.. na bado hali itabakia vilevile - nothing will happen.
Tusubiri divine intervention labda maana nani ameweza kwenda a step further beyond kulalama, kulaani, kulaumu, kukejeli?

that is what I said. Tatizo watu wana haraka mno ya kuruka ikifika mahali pa action. But this time, nimejifunza kitu kimoja usitawategemee watu wa JF as a group to do something. They are good in talking (like typical Tanzanians) but they never act. That is why I believe if you can do something, go and do it. Let the others keep talking.
 
that is what I said. Tatizo watu wana haraka mno ya kuruka ikifika mahali pa action. But this time, nimejifunza kitu kimoja usitawategemee watu wa JF as a group to do something. They are good in talking (like typical Tanzanians) but they never act. That is why I believe if you can do something, go and do it. Let the others keep talking.


EVERYBODY thinks that SOMEBODY will do something but at the end of the day NOBODY does anything and life goes on!
 
Take it or leave it "ALL POLITICAL CARRIERS ENDS UP IN FAILURE",wadau nitajieni kiongozi mmoja duniani aliyefanikiwa kama mwanataaluma wa siasa na akaondoka bila kusimangwa angalau na wachache,nitajieni mmoja tu.
 
Last edited:
Pasco mi nimeshasema na ninarudia: niko radhi kumpigia kura Mtikila kuliko Kikwete! I really mean it. Na ni lazima tuwaeleza wananchi kwamba anything is better than what we have now!! Nobody can screw up more than Jk just did in 5 years! Believe me! Tulikuwa tunauziwa kila siku oh upinzani haujui kuendesha nchi blah! Na we unasema hakuna serious alternative. Sorry, but I don't get it, is JK any choice let alone a serious choice? NO! Does he know what he is doing? NO! does his government know what it is doing? NO! Has the opposition shown more understanding of national issues? YES! Sasa huna sababu ya kumpa kura yako Kikwete... eti hakuna serious alternative... this president is a JOKE!
heshima mbele Susuviri,
Theory yangu ni ya ndege aliyeko mkononi. mimi ni miongoni mwa wale niliosema na ninaendelea kusema, CCM inachaguliwa sio kwa sababu inapendwa sana, bali watu wanakosa cha kuchagua. hata mimi nilikuwa nikiwapigia kura za urais wapinzani nikawa najikuta nimepoteza bure kura yangu, naishi kwa miaka mitano mingine na hasira na chuki dhidi ya aliyeshinda mpkaka nilipokubali kucheza na timu za washindi katika formular ya
'if you can't beat them, join them' and fight from within.
Honestly, I'm among the people disapointed by the oppositions in Tanzania, ni njaa na ubinafsi tuu umewajaa. hebu tuangalie mfano mdogo tuu wa huu uchaguzi mdogo wa jimbo la Busanda (nitakuwepo huko). Jimbo lilikuwa linashikiliwa na CCM, tayari Cuf wameshateua mgombea, NCCR, wameteua na Chadema tayari. bado UDP lazima watateua, all this ya nini?. si wanampa mgombea wa CCM a walkover victory?. kwa nini hawana umoja?.

uzuri wa kuchagua ni haki ya kidemokrasia, unamchagua yoyote ambaye dhamira yako inakutuma kama vitani, 'kuna askari shupavu, wanaopigana tha loosing battle mpaka risasi ya mwisho na tone la mwisho la damu linamwagika' wanajitoa muhanga na huitwa mashujaa. Wapiganaji wengine wa aina yangu, ni ma strategist, kama unajua utashindwa, usiende vitani, kusanya nguvu, pata uhahika, ingia vitani.

ukweli siku zote unauma, ni uchungu JK atachaguliwa tena 2010 kwa vile wapinzani, hawajajipanga, na walitakiwa wajipange tangu jana. niliwahi sema kama kweli wapinzani wako serious, wamwachie boya Lipumba, wengine wote waende majimboni waingie bungeni. 2010-2015 kiwe kipindi cha kujingenga na kujiimarisha kuchukua nchi, wakiwaaminisha wananchi kuwa wanaweza, wananchi watawaamini na watawakabidhi nchi. CCM walikwisha thibitisha siku yingi kuwa hawawezi, tatizo tumpe nani kama aliyepo hawezi?. si ni bora aliyepo kuliko vacuum?.
 
Pasco,
You have said it all.
Umehitimisha vema kabisa.Kama ni kelele zinapigwa sana.. na bado hali itabakia vilevile - nothing will happen.
Tusubiri divine intervention labda maana nani ameweza kwenda a step further beyond kulalama, kulaani, kulaumu, kukejeli?
Asante WoS, hawa ndio Watanzania tulivyo na sasa za nchi yetu, ni maneno mengi na vitendo vichache. ili kuingia bungeni na kuonekana ni mbunge machachari, lazima ujue kupiga sana domo hata kama wanachi wako wanakula majani.
Prof. Shivji aliwahi kusema, kuna wanasiasa hawapendi siasa bali wanataka madaraka kuneemesha matumbo yao. lakini pia kuna wananchi wanauchungu na nchi hii lakini hawako tayari kuisogelea siasa kwa sababu ni mchezo mchafu. Mmmoja wenye uchungu na nchi hii ni Mzee Mwanakijiji na wengine wengi wamo hata huku JF pia wamo. Uwezo wa kusema sana upo, tatizo ni uwezo wa kutenda!.
Kwa wenzetu mlio mbali, endeleeni kusema tuu, sisi tuliyoko huku jikoni, wengine wetu tilishatenda na tukatendwa unakia mahali unalazimika kuchagua ama ujinyamazie utunze familia yako siku ipite, ama utende, utendwe, usahaulike na hutasota tena maana utakuwa umekwisha habari yako, tatizo ni familia. Ukitanguliza mapenzi yako kwa nchi yako, huu ndio uzalendo wa kweli, utasema lolote na kufanya lolote kwa ajili ya nchi yako, ukitanguliza mbele familia yako, familia yako, kabla ya kusema na kutenda, unajiuliza mara mbili mbilimbili 'so what?'. na wengine wetu huamua kukaa kimya bila kusema lolote, bila kutenda lolote na kuiacha siku ijipitie, ikawa asubuhi, ikawa jioni, siku ikapita.
 
Quote:


Nina uhakika unachuki binafsi na JMK.


Kuna tatizo gani kuwa na chuki binafsi ulitaka ni shee na watu wengine? Na nikisema mambo mazuri nitakuwa na mapenzi binafsi?

Dar Es Salaam,

Assume for a second that what you are saying is true: Kama wewe ni kiongozi na unaowaongoza wote (isipokuwa Dar Es Salaam) wakawa na chuki binafsi na wewe, hiyo inakuambia nini? Inawezekana watanzania walio wengi wana chuki binafsi na raisi wao waliomchagua kwa nafsi zao kutetea maslahi ya nchi yao sasa amewageuka. Sioni ubaya wa kuwa na chuki binafsi naye kwa maana hiyo na ni vyema akagundua hilo ili afungashe vilivyo vyake aondike ikulu.
 
Back
Top Bottom