Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Nikiwa kama trainee tumetoka field kufika ofisini kila mtu alikuwa na hamu ya kikombe cha chai. Mimi nikiwa mdogo kuliko wote na pia watu hawa ndiyo wa kuni sainia kitabu changu nilizama jikoni.
Nilikuta kibakuli kukiwa na miliyodhani kuwa ni sukari kumbe ilikuwa chumvi. Bidada nikajitosa na tray nikaweka vikombe vizuri na kuwapelekea chai masupervisor wangu.
Walihamaki lakini walijua kulikuwa kosa genuine. Siku wananiaga waliniambia kuwa mwangalifu katika kupambanua chumvi na sukari.
Nilikuta kibakuli kukiwa na miliyodhani kuwa ni sukari kumbe ilikuwa chumvi. Bidada nikajitosa na tray nikaweka vikombe vizuri na kuwapelekea chai masupervisor wangu.
Walihamaki lakini walijua kulikuwa kosa genuine. Siku wananiaga waliniambia kuwa mwangalifu katika kupambanua chumvi na sukari.