Kosa kubwa analifanya Rais nikudharau hata wale wamemfikisha alipo je atadumu?

Kosa kubwa analifanya Rais nikudharau hata wale wamemfikisha alipo je atadumu?

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Hata tawala za kimila zilizowahi kutikisa dunia zikikuwa namna yakutawala na kutosahau kuwa waliomfikisha pale walipo ndio watu wamuhimu sana.

Historia inajieleza ya kuwa pale watawala hawa wa kimila waligeuka na kuwasahau wale waliwafikisha pale walipo tawala zao zilianguka na kama sio kuanguka basi amani ktk nchi ilipotea.

Mh Rais wetu ktk siku za kaibuni amebadilisha muelekeo na kuonyesha yeye hasikilizi la mtu wala kushauriwa. Akaenda mbali nakusema alichukua form mwenyewe hakushauriwa na mtu.

Sina uhakika kama anakumbuka alishawahi kusema JK ndie alimshauri akachukue form na ndio mwanzo wasafari yake. Hili linatuonyesha nini ktk huu utawala? Jibu ni rahisi utawala umefika mahali hautambuwi mchango wa wale walifanikisha kufika pale walipo. Mh Rais nadhani kama hili halijuwi basi kupitia uzi huu atambuwe wapo maelfu ya vijana pitia mitandao hii hii tulikupamba nakukusifia.

Moderator anaweza retreave thread za nyuma nakuziweka hapa ili kuthibitisha ukweli. Kiukweli kabisa wengi wetu tulie sema huyu ndie tumerudi nyuma maana rais mwenyewe ameanza kutudharau nakuona bashite ndio roho yake mtu ambaye hata hana tone la uchungu wa CCM Bashite nisawa na msafiri aliyepanda ndani ya gari kama msaada ikafika mahali akapewa kidogo kuendesha gari ila mwisho wa safari akajimilikisha gari nakusema bila yeye tusingefika.

Mh Nnape na makamanda wengine ndio sababu ya Magufuli kuwepo. Na hili asije hata siku moja akasema ni yeye amefika hapo kwa nguvu zake. Mh Mkapa amekaa kimya ila sidhani kama siku Magu alisema amejiweka yeye aliangalia TV nadhani alienda kulala maana hakuamini kile anakisikia.

Mh Rais usipousoma huu upepo nakubadilika haraka tena kwa kwenda kwa hawa wazee nakuwaomba msamaha usije kuuliza nini lilitokea. Ila ukumbuke kauli zako.
Hili taifa nalipenda sana mfumo wake wakiusalama ambao nina imani kama mh Rais angeusoma vizuri angeomba hotuba asome.

Je utadumu ? Na kama utadumu, je utawezakufikia malengo yako bila chama??? Tusubiri
 
Angalau mmeanza kusoma namba.Mlitukera sana sisi tulioona mbali kama anavyowakera rais sasa.Lakini,tunywe maji kidogo ya Tanzania na kusonga mbele! Tusikubali kugawanywa na mtu yeyote yule kwa ukabila au ukanda.
Mytake:Makanda mnaolialia sasa mtubu na kuwaomba radhi watu waliokuwa tayari kutuepusha na hii hali ila mlifanya kila hila kuwakwamisha.
 
Hata tawala za kimila zilizowahi kutikisa dunia zikikuwa namna yakutawala na kutosahau kuwa waliomfikisha pale walipo ndio watu wamuhimu sana.

Historia inajieleza ya kuwa pale watawala hawa wa kimila waligeuka na kuwasahau wale waliwafikisha pale walipo tawala zao zilianguka na kama sio kuanguka basi amani ktk nchi ilipotea.

Mh Rais wetu ktk siku za kaibuni amebadilisha muelekeo na kuonyesha yeye hasikilizi la mtu wala kushauriwa. Akaenda mbali nakusema alichukua form mwenyewe hakushauriwa na mtu.

Sina uhakika kama anakumbuka alishawahi kusema JK ndie alimshauri akachukue form na ndio mwanzo wasafari yake. Hili linatuonyesha nini ktk huu utawala? Jibu ni rahisi utawala umefika mahali hautambuwi mchango wa wale walifanikisha kufika pale walipo. Mh Rais nadhani kama hili halijuwi basi kupitia uzi huu atambuwe wapo maelfu ya vijana pitia mitandao hii hii tulikupamba nakukusifia.

Moderator anaweza retreave thread za nyuma nakuziweka hapa ili kuthibitisha ukweli. Kiukweli kabisa wengi wetu tulie sema huyu ndie tumerudi nyuma maana rais mwenyewe ameanza kutudharau nakuona bashite ndio roho yake mtu ambaye hata hana tone la uchungu wa CCM Bashite nisawa na msafiri aliyepanda ndani ya gari kama msaada ikafika mahali akapewa kidogo kuendesha gari ila mwisho wa safari akajimilikisha gari nakusema bila yeye tusingefika.

Mh Nnape na makamanda wengine ndio sababu ya Magufuli kuwepo. Na hili asije hata siku moja akasema ni yeye amefika hapo kwa nguvu zake. Mh Mkapa amekaa kimya ila sidhani kama siku Magu alisema amejiweka yeye aliangalia TV nadhani alienda kulala maana hakuamini kile anakisikia.

Mh Rais usipousoma huu upepo nakubadilika haraka tena kwa kwenda kwa hawa wazee nakuwaomba msamaha usije kuuliza nini lilitokea. Ila ukumbuke kauli zako.
Hili taifa nalipenda sana mfumo wake wakiusalama ambao nina imani kama mh Rais angeusoma vizuri angeomba hotuba asome.

Je utadumu ? Na kama utadumu, je utawezakufikia malengo yako bila chama??? Tusubiri
Ugonjwa wa kusahau nasikia hauna dawa
 
Kwa nini asidumu wakati ccm wameishabadili mtazamo mapema tu kuwa 2020 asiwe na mpinzani au mgombea urais yaani apite ndani ya chama moja kwa moja bila kura.
 
Muulize jk pale alipowaendeleza waliomfikisha hapo nini kilitaka kitokee..ukishakuwa rais we si mwenzao tena..ni taasisi tofauti
 
Angalau mmeanza kusoma namba.Mlitukera sana sisi tulioona mbali kama anavyowakera rais sasa.Lakini,tunywe maji kidogo ya Tanzania na kusonga mbele! Tusikubali kugawanywa na mtu yeyote yule kwa ukabila au ukanda.
Mytake:Makanda mnaolialia sasa mtubu na kuwaomba radhi watu waliokuwa tayari kutuepusha na hii hali ila mlifanya kila hila kuwakwamisha.

Wajinga sana hawa jamaa, wametuletea shida kwenye nchi kutokana na ufinyu wa akili zao na matamanio ya ukanda na uchama.
 
Yaani ukitaka kufa njaa mguse alie rohoni kwake si mwingine (Makonda) na hata gwajima asome alama mapema
 
Back
Top Bottom