Kosa kubwa la Diamond leo

Kosa kubwa la Diamond leo

Mtanishangaa nikisema hii ilipangwa kufifisha upepo wa mtanzania mwenzetu anayeendelea kupata tiba Nairobi?

Au mtanichukia kwa kuwaambia hili?
.
Mtu haishi kwa mkate pekee
 
Ni bora alivyo kiri hii ishu ilikuwa ina mtia doa kuwa katelekeza mtoto jamii hasa hasa wanawake walikuwa washanza kujenga chuki nae, mama yke pia alikuwa ana husishwa kuwa hamjali ako kademu wakati nae alishawahi telekezwa uku maadui zke walikuwa wanaitumia km fimbo ya kumchapia Zari
 
Diamond na Zari wameoana lini? Maana ulisema atavunja ndoa nashindwa kuelewa kila mtu yupo kwake haijawahi kutokea wakakaa wote hata miezi mitatu pika pakua.
 
20170919_183110.png
 
Mwanamke lulu bwana beauty with purpose yaan she s so matured utafikiri kina miaka 50, mtt anatoka na watu wakubwa kama kina trump na hutakaa usikie show of za kingese ngese ...mobeto hana akili kabisa...mtt analelewa ,matumizi anapata shidake nn
 
Pole sana mdogo wangu Diamond Platinum. Binafsi ni mfuatiliaji wa muziki wako na hua nadiriki hata kununua nyimbo zako katika web yako.Mimi ni shabiki pia wa Swahiba wako Ally Kiba lakini lazima nikiri kwamba umemzidi mbali sana sio meendeleo tu hata plans zako hawezi kufika hata asimame juu ya kiti itachujua miaka kukufikia ulipo.

Tuachane na hayo ndugu twende kwenye point.Kati ya siku ambazo umeonyesha udhaifu mkubwa ni leo.Hukutakiwa kabisa kwenda kwenye media kukiri kwamba umezaa na yule binti(mubeto-sijui kma nimepatia spelling)

Ulitakiwa kukomaa mpaka dakika ya mwisho kwamba hujazaa nae, hii ingekusaidia kutunza heshima yako pamoja na kuimarisha ndoa yako.Wanawake wanaamini sana maneno kutoka kwa mwanaume.Zarinah asingeweza kukwambia kapime DNA hata kama mtoto angetoka copy right na wewe.Mwanamke ni mwepesi sana kusamehe kuliko mwanaume.

Kama ni kweli ulishamwambia Zari kuhusu mtoto wa nje basi hukua na haja ya kwenda kuatangaza aisee.Ona sasa kila mtu hata watoto wadogo wamejua kwamba ulimsaliti mkeo(japo not official) lakini navojua huu mwaka wa nne kama sio wa tatu uko na huyo mama(zarinah).Wanawake wanataka heshima, wanataka kuthaminiwa.Ikiwa umeweza kwenda na yule mdada chumbani unapolala na yule mama hataweza tena kukuamini.Umemvua nguo kabisa aisee.Hana hamu tena ya kuja Tz, yale mapicha picha airport sidhani kama atapiga tena.

Zile show off zenu nadhani hazitakuwepo tena.Naanza kuona mwisho wa uchumba wenu.

Sasa yule mama atakugeuza anavotaka.Tegemea kulia sana katika swala la mapenzi.

Mdogo wangu bado kidogo ufikishe miaka 30.Karibu sana katika umri huu kijana.Sisi wengine tuna uzoefu sana katika haya mambo.Hata tukutwe live tunakana kwamba sio kweli na tunasamehewa.

Sina hakika kama ushauri wa wewe kwenda kwemye media uliutoa kwa Babu tale ama fella.

Maana naamini wao ni wajuzi zaidi wa haya mambo na hivo wasingekushauri kwenda kutangaza kama vile unaomba msamaha watanzania.

Sisi tunaweza kukusamehe lakini yule mama hawezi kabisa.Atakutesa sana mi nakushuri bora uachane nae kabisa aise.Tegemea kuona mapicha ya uchi na clips za mitombo akiwa na majamaa halafu uchune tu maana tayar ushamchafua kwa hiyo atalipiza.

Kumbuka hana cha kupoteza hata akiachana na wewe.Yeye sio hao wanaotaka elfu 70 kwa siku yeye anapesa yake.

Ulitakiwa kuomba ushauri kwa wakubwa na wazoefu wa mambo kabla hujaenda kukiri mbele ya watanzania mil 24 wapiga kura wenye akili timamu na above 18 waliokua leo hii wanakuangalia unapuyanga.
Tegemea heshima yako kushuka sana mwaka huu.

Mubeto hana tofauti na akina Giggy na amber lulu sijui, ambao ni kama day-waka.Kwamba apate deal ndio aingize mkwanja au afanya vibiashara vidogo vya mission town apate mshiko.

Sasa hivi atakufanya wewe kitega uchumi.Nimesikia umesema anataka mil 5 kila mwezi(What)?.kwa maana nyingine ni kwamba kale ka faidi kote kwenye biashara zako za nguo atakua anachukua mubeto.

Hili ni kosa kubwa sana na pengine siku hii hutaisahu.Hakukua na haja yoyote ya wewe kutangaza ingebaki kama tetesi tu.

Hata kama alivujisha picha, you could tell zarinah kwamba , she was ma chick by then kwisha!.Kwani wanagapi wana zalishwa na kuachwa wanakua ma single mother?.

Kama mtoto si unao wawili?.Ulishindwa nn kumhudumia kimya kimya.Alichotaka yule mubeto ni kujulikana kwamba kazaa na wewe lakini pia alipata sapoti kubwa kutoka kwa ma x wako, huu mchezo uliujua lakini umeingia king.Wao daima hawafurahi kabisa wewe kua na yule mama maana ni kama vile umewadharau baada ya kuwamega na kuwaacha.So lengonlao uharibikiwe na ndo wanafanikiwa hivo.

Kulikua na maandalizi ya kufungua kesi kwamba umemkana mtoto lakini pia ungeweza kumhudumia mtoto but sio kwa mil 5 kwa mwezi!

Unaenda kufilisika bro niamini.Najua utasema kwamba oohh unapiga hela ndefu lakini siongelei hela naongelea saikolojia yako kwa sasa itakunyima raha miaka na miaka na hii itakutafuna niamini.

Na kama ikitokea yule bibi akaghairi ushirikiano na wewe please usije kufanya kosa kumrudia yeyote kati ya wale ulioisha wapitia.Hawatakua na jipya zaidi ya kukufilisi, ni bora umfuate yule wa big brother kama ni kweli ulimpiga pia. Aisee ila na wewe hatari.


Usiku mwema.
Naam kiongozi umenena vyema kabisa hawa viumbe wavumilivu sana ukishakubali tu uvumilivu hufa hapo hapo....hawa huwa tunawakatalia mpaka mwisho hata akukute uko kiunoni unagoma kabisa....
 
Pole sana mdogo wangu Diamond Platinum. Binafsi ni mfuatiliaji wa muziki wako na hua nadiriki hata kununua nyimbo zako katika web yako.Mimi ni shabiki pia wa Swahiba wako Ally Kiba lakini lazima nikiri kwamba umemzidi mbali sana sio meendeleo tu hata plans zako hawezi kufika hata asimame juu ya kiti itachujua miaka kukufikia ulipo.

Tuachane na hayo ndugu twende kwenye point.Kati ya siku ambazo umeonyesha udhaifu mkubwa ni leo.Hukutakiwa kabisa kwenda kwenye media kukiri kwamba umezaa na yule binti(mubeto-sijui kma nimepatia spelling)

Ulitakiwa kukomaa mpaka dakika ya mwisho kwamba hujazaa nae, hii ingekusaidia kutunza heshima yako pamoja na kuimarisha ndoa yako.Wanawake wanaamini sana maneno kutoka kwa mwanaume.Zarinah asingeweza kukwambia kapime DNA hata kama mtoto angetoka copy right na wewe.Mwanamke ni mwepesi sana kusamehe kuliko mwanaume.

Kama ni kweli ulishamwambia Zari kuhusu mtoto wa nje basi hukua na haja ya kwenda kuatangaza aisee.Ona sasa kila mtu hata watoto wadogo wamejua kwamba ulimsaliti mkeo(japo not official) lakini navojua huu mwaka wa nne kama sio wa tatu uko na huyo mama(zarinah).Wanawake wanataka heshima, wanataka kuthaminiwa.Ikiwa umeweza kwenda na yule mdada chumbani unapolala na yule mama hataweza tena kukuamini.Umemvua nguo kabisa aisee.Hana hamu tena ya kuja Tz, yale mapicha picha airport sidhani kama atapiga tena.

Zile show off zenu nadhani hazitakuwepo tena.Naanza kuona mwisho wa uchumba wenu.

Sasa yule mama atakugeuza anavotaka.Tegemea kulia sana katika swala la mapenzi.

Mdogo wangu bado kidogo ufikishe miaka 30.Karibu sana katika umri huu kijana.Sisi wengine tuna uzoefu sana katika haya mambo.Hata tukutwe live tunakana kwamba sio kweli na tunasamehewa.

Sina hakika kama ushauri wa wewe kwenda kwemye media uliutoa kwa Babu tale ama fella.

Maana naamini wao ni wajuzi zaidi wa haya mambo na hivo wasingekushauri kwenda kutangaza kama vile unaomba msamaha watanzania.

Sisi tunaweza kukusamehe lakini yule mama hawezi kabisa.Atakutesa sana mi nakushuri bora uachane nae kabisa aise.Tegemea kuona mapicha ya uchi na clips za mitombo akiwa na majamaa halafu uchune tu maana tayar ushamchafua kwa hiyo atalipiza.

Kumbuka hana cha kupoteza hata akiachana na wewe.Yeye sio hao wanaotaka elfu 70 kwa siku yeye anapesa yake.

Ulitakiwa kuomba ushauri kwa wakubwa na wazoefu wa mambo kabla hujaenda kukiri mbele ya watanzania mil 24 wapiga kura wenye akili timamu na above 18 waliokua leo hii wanakuangalia unapuyanga.
Tegemea heshima yako kushuka sana mwaka huu.

Mubeto hana tofauti na akina Giggy na amber lulu sijui, ambao ni kama day-waka.Kwamba apate deal ndio aingize mkwanja au afanya vibiashara vidogo vya mission town apate mshiko.

Sasa hivi atakufanya wewe kitega uchumi.Nimesikia umesema anataka mil 5 kila mwezi(What)?.kwa maana nyingine ni kwamba kale ka faidi kote kwenye biashara zako za nguo atakua anachukua mubeto.

Hili ni kosa kubwa sana na pengine siku hii hutaisahu.Hakukua na haja yoyote ya wewe kutangaza ingebaki kama tetesi tu.

Hata kama alivujisha picha, you could tell zarinah kwamba , she was ma chick by then kwisha!.Kwani wanagapi wana zalishwa na kuachwa wanakua ma single mother?.

Kama mtoto si unao wawili?.Ulishindwa nn kumhudumia kimya kimya.Alichotaka yule mubeto ni kujulikana kwamba kazaa na wewe lakini pia alipata sapoti kubwa kutoka kwa ma x wako, huu mchezo uliujua lakini umeingia king.Wao daima hawafurahi kabisa wewe kua na yule mama maana ni kama vile umewadharau baada ya kuwamega na kuwaacha.So lengonlao uharibikiwe na ndo wanafanikiwa hivo.

Kulikua na maandalizi ya kufungua kesi kwamba umemkana mtoto lakini pia ungeweza kumhudumia mtoto but sio kwa mil 5 kwa mwezi!

Unaenda kufilisika bro niamini.Najua utasema kwamba oohh unapiga hela ndefu lakini siongelei hela naongelea saikolojia yako kwa sasa itakunyima raha miaka na miaka na hii itakutafuna niamini.

Na kama ikitokea yule bibi akaghairi ushirikiano na wewe please usije kufanya kosa kumrudia yeyote kati ya wale ulioisha wapitia.Hawatakua na jipya zaidi ya kukufilisi, ni bora umfuate yule wa big brother kama ni kweli ulimpiga pia. Aisee ila na wewe hatari.


Usiku mwema.
Hivi alimuowa lini huyo zari
Sio mkewe nawala hajafanya kosa lolote kama alivyo zaa na zari ndio alivyo zaa na hamisa wote kazini nao tu hakuna mkee halali wakusemea eti amezaa nje yandoa nilini diamond alifunga ndoa?
 
Pole sana mdogo wangu Diamond Platinum. Binafsi ni mfuatiliaji wa muziki wako na hua nadiriki hata kununua nyimbo zako katika web yako.Mimi ni shabiki pia wa Swahiba wako Ally Kiba lakini lazima nikiri kwamba umemzidi mbali sana sio meendeleo tu hata plans zako hawezi kufika hata asimame juu ya kiti itachujua miaka kukufikia ulipo.

Tuachane na hayo ndugu twende kwenye point.Kati ya siku ambazo umeonyesha udhaifu mkubwa ni leo.Hukutakiwa kabisa kwenda kwenye media kukiri kwamba umezaa na yule binti(mubeto-sijui kma nimepatia spelling)

Ulitakiwa kukomaa mpaka dakika ya mwisho kwamba hujazaa nae, hii ingekusaidia kutunza heshima yako pamoja na kuimarisha ndoa yako.Wanawake wanaamini sana maneno kutoka kwa mwanaume.Zarinah asingeweza kukwambia kapime DNA hata kama mtoto angetoka copy right na wewe.Mwanamke ni mwepesi sana kusamehe kuliko mwanaume.

Kama ni kweli ulishamwambia Zari kuhusu mtoto wa nje basi hukua na haja ya kwenda kuatangaza aisee.Ona sasa kila mtu hata watoto wadogo wamejua kwamba ulimsaliti mkeo(japo not official) lakini navojua huu mwaka wa nne kama sio wa tatu uko na huyo mama(zarinah).Wanawake wanataka heshima, wanataka kuthaminiwa.Ikiwa umeweza kwenda na yule mdada chumbani unapolala na yule mama hataweza tena kukuamini.Umemvua nguo kabisa aisee.Hana hamu tena ya kuja Tz, yale mapicha picha airport sidhani kama atapiga tena.

Zile show off zenu nadhani hazitakuwepo tena.Naanza kuona mwisho wa uchumba wenu.

Sasa yule mama atakugeuza anavotaka.Tegemea kulia sana katika swala la mapenzi.

Mdogo wangu bado kidogo ufikishe miaka 30.Karibu sana katika umri huu kijana.Sisi wengine tuna uzoefu sana katika haya mambo.Hata tukutwe live tunakana kwamba sio kweli na tunasamehewa.

Sina hakika kama ushauri wa wewe kwenda kwemye media uliutoa kwa Babu tale ama fella.

Maana naamini wao ni wajuzi zaidi wa haya mambo na hivo wasingekushauri kwenda kutangaza kama vile unaomba msamaha watanzania.

Sisi tunaweza kukusamehe lakini yule mama hawezi kabisa.Atakutesa sana mi nakushuri bora uachane nae kabisa aise.Tegemea kuona mapicha ya uchi na clips za mitombo akiwa na majamaa halafu uchune tu maana tayar ushamchafua kwa hiyo atalipiza.

Kumbuka hana cha kupoteza hata akiachana na wewe.Yeye sio hao wanaotaka elfu 70 kwa siku yeye anapesa yake.

Ulitakiwa kuomba ushauri kwa wakubwa na wazoefu wa mambo kabla hujaenda kukiri mbele ya watanzania mil 24 wapiga kura wenye akili timamu na above 18 waliokua leo hii wanakuangalia unapuyanga.
Tegemea heshima yako kushuka sana mwaka huu.

Mubeto hana tofauti na akina Giggy na amber lulu sijui, ambao ni kama day-waka.Kwamba apate deal ndio aingize mkwanja au afanya vibiashara vidogo vya mission town apate mshiko.

Sasa hivi atakufanya wewe kitega uchumi.Nimesikia umesema anataka mil 5 kila mwezi(What)?.kwa maana nyingine ni kwamba kale ka faidi kote kwenye biashara zako za nguo atakua anachukua mubeto.

Hili ni kosa kubwa sana na pengine siku hii hutaisahu.Hakukua na haja yoyote ya wewe kutangaza ingebaki kama tetesi tu.

Hata kama alivujisha picha, you could tell zarinah kwamba , she was ma chick by then kwisha!.Kwani wanagapi wana zalishwa na kuachwa wanakua ma single mother?.

Kama mtoto si unao wawili?.Ulishindwa nn kumhudumia kimya kimya.Alichotaka yule mubeto ni kujulikana kwamba kazaa na wewe lakini pia alipata sapoti kubwa kutoka kwa ma x wako, huu mchezo uliujua lakini umeingia king.Wao daima hawafurahi kabisa wewe kua na yule mama maana ni kama vile umewadharau baada ya kuwamega na kuwaacha.So lengonlao uharibikiwe na ndo wanafanikiwa hivo.

Kulikua na maandalizi ya kufungua kesi kwamba umemkana mtoto lakini pia ungeweza kumhudumia mtoto but sio kwa mil 5 kwa mwezi!

Unaenda kufilisika bro niamini.Najua utasema kwamba oohh unapiga hela ndefu lakini siongelei hela naongelea saikolojia yako kwa sasa itakunyima raha miaka na miaka na hii itakutafuna niamini.

Na kama ikitokea yule bibi akaghairi ushirikiano na wewe please usije kufanya kosa kumrudia yeyote kati ya wale ulioisha wapitia.Hawatakua na jipya zaidi ya kukufilisi, ni bora umfuate yule wa big brother kama ni kweli ulimpiga pia. Aisee ila na wewe hatari.


Usiku mwema.

We haujajua huyo dogo anataka kututhibitishia kua anauwezo wa kuzalisha.pia huwezi jua anapata kibano gani na watoto wa zari.mimi naona diamond anajiwekea ulinzi na kua na nguvu kwa zari .
 
Naam kiongozi umenena vyema kabisa hawa viumbe wavumilivu sana ukishakubali tu uvumilivu hufa hapo hapo....hawa huwa tunawakatalia mpaka mwisho hata akukute uko kiunoni unagoma kabisa....
Yes dogo kakurupuka sana aisee, mi nimewahi kukutwa na wife(enzi akiwa mpenzi) nikiwa na mwanamke mwingine live lakini nikasema kaja kuleta taarifa ya msiba umetokea hapo jirani, wife akawaka lakini nikasimamia msimamo huohuo na mwisho yakaisha.Lakini baadae wife akajua kabisa nilipiga ule mzigo but maisha yanasonga mpaka sasa tuna watoto 3
 
Mwanamke lulu bwana beauty with purpose yaan she s so matured utafikiri kina miaka 50, mtt anatoka na watu wakubwa kama kina trump na hutakaa usikie show of za kingese ngese ...mobeto hana akili kabisa...mtt analelewa ,matumizi anapata shidake nn
Acha ukilaza nani wa kutoka na Trump toka madale?
 
Back
Top Bottom