Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,063
- 12,866
Ndani ya nchi yetu kumekuwepo na ubaguzi wa wazi dhidi ya watu wa kabila la wamasai.
Imekuwa ni kawaida kuwaona na kuwatambua watu wote Kama Watanzania isipokuwa maasai ndio hutambulika Kama wamasai.
Kwanin tunatumia utambulisho wa kikabila Kwa maasai Ila Kwa wengine tunatumia utambulisho wa Utanzania?
Mathalani utasikia mlinzi wa kimasai au kijana wa kimasai lakin huwez sikia mlinzi wa kinyakyusa au kisukuma.
Imekuwa ni kawaida kuwaona na kuwatambua watu wote Kama Watanzania isipokuwa maasai ndio hutambulika Kama wamasai.
Kwanin tunatumia utambulisho wa kikabila Kwa maasai Ila Kwa wengine tunatumia utambulisho wa Utanzania?
Mathalani utasikia mlinzi wa kimasai au kijana wa kimasai lakin huwez sikia mlinzi wa kinyakyusa au kisukuma.