Kosa kubwa la wamasai ni lipi?

Kosa kubwa la wamasai ni lipi?

Sioni ubaguzi wowote zaidi ya kuwa madai ni brand kubwa sana na wana identity yao maalum
 
Ndani ya nchi yetu kumekuwepo na ubaguzi wa wazi dhidi ya watu wa kabila la wamasai.

Imekuwa ni kawaida kuwaona na kuwatambua watu wote Kama Watanzania isipokuwa maasai ndio hutambulika Kama wamasai.

Kwanin tunatumia utambulisho wa kikabila Kwa maasai Ila Kwa wengine tunatumia utambulisho wa Utanzania?

Mathalani utasikia mlinzi wa kimasai au kijana wa kimasai lakin huwez sikia mlinzi wa kinyakyusa au kisukuma.View attachment 3047808
Nafkiri sababu ni hii - Masai tribe ndo kabila pekee ambalo ukimuona unamtambua kwa aina ya vazi lake, tofauti na makabila mengine, sidhani kama wanabaguliwa, Tena ilibidi kwao iwe fahari kwa kuweza kuwa na muonekano ambao huwatambulisha kwa urahisi
 
Tatizo mnajukuta wababe mnavamia maeneo ya watu kinguvu, mkilewa hamjali halaiki ya watu ni kimasai mwa mwi tena Kwa volume ya home theater...yaani mna fujo afu mnavojitia mna umoja yaani ukorofi aanzishe ndugu yenu mkija hamuulizi mnaanza tu kuchomoa sime, siku hz wabongo nao wamevurugwa mkileta zenu ni kuwapora sime na kichapo heavy.
 
Back
Top Bottom