kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Simba atabaki kuwa Simba kwenye michuano ya kimataifa na yanga wazee wa ndondo cup watabaki kuwa yanga.
Kosa kubwa hapa yanga wanataka kuifananisha timu yao na Simba kwenye mafanikio ya kimataifa ili hali timu yao ni changa, malengo ya hersi ilikuwa ni group stage na wamefika ila mashabiki wa utopolo huwa hawana kumbu kumbu kama kuku, hapa wameanza kujipa matumaini kwa kupiga hesabu za vidole kwa kusema watashinda mechi zote kwa mkapa japo jambo hilo ni gumu mzunguko wa kwanza wamepiga moja wajue wakabisa watapasuka tena japo game moja amma mbili.
Mechi ya Mazembe tumeona kila hatua timu ya yanga ni ile ile Mazembe katoka sare na Aligers kapigwa na Hilal katoka sare na yanga.
Hesabu za vidole wamepigwa na Hilal wakapigwa na Algers wame droo na Mazembe kimatokeo wanafanana ndio timu mbili mbovu kwenye kundi inashangaza wakijinasibu kupita kwenye hilo kundi sijui kwa mpira gani na uwezo gani kiwango kipi na wachezaji wapi.
Simba siku zote wanapindua meza huwa wana wachezaji wenye kujituma na wanajua nini wanchokifanya tayari wachezaji wa simba wamejengwa mashindano ya kimataifa wao ndio wawakilishi pekee wa taifa la Tanzania.
Yanga hawatafuzu hili kundi kwa kujifanananisha na Simba hawana timu ya kushinda mechi zote.....mtanikumbuka!
Kosa kubwa hapa yanga wanataka kuifananisha timu yao na Simba kwenye mafanikio ya kimataifa ili hali timu yao ni changa, malengo ya hersi ilikuwa ni group stage na wamefika ila mashabiki wa utopolo huwa hawana kumbu kumbu kama kuku, hapa wameanza kujipa matumaini kwa kupiga hesabu za vidole kwa kusema watashinda mechi zote kwa mkapa japo jambo hilo ni gumu mzunguko wa kwanza wamepiga moja wajue wakabisa watapasuka tena japo game moja amma mbili.
Mechi ya Mazembe tumeona kila hatua timu ya yanga ni ile ile Mazembe katoka sare na Aligers kapigwa na Hilal katoka sare na yanga.
Hesabu za vidole wamepigwa na Hilal wakapigwa na Algers wame droo na Mazembe kimatokeo wanafanana ndio timu mbili mbovu kwenye kundi inashangaza wakijinasibu kupita kwenye hilo kundi sijui kwa mpira gani na uwezo gani kiwango kipi na wachezaji wapi.
Simba siku zote wanapindua meza huwa wana wachezaji wenye kujituma na wanajua nini wanchokifanya tayari wachezaji wa simba wamejengwa mashindano ya kimataifa wao ndio wawakilishi pekee wa taifa la Tanzania.
Yanga hawatafuzu hili kundi kwa kujifanananisha na Simba hawana timu ya kushinda mechi zote.....mtanikumbuka!