Kosa kubwa la Yanga ni kujifananisha na Simba!

Kosa kubwa la Yanga ni kujifananisha na Simba!

Simba atabaki kuwa Simba kwenye michuano ya kimataifa na yanga wazee wa ndondo cup watabaki kuwa yanga.

Kosa kubwa hapa yanga wanataka kuifananisha timu yao na Simba kwenye mafanikio ya kimataifa ili hali timu yao ni changa, malengo ya hersi ilikuwa ni group stage na wamefika ila mashabiki wa utopolo huwa hawana kumbu kumbu kama kuku, hapa wameanza kujipa matumaini kwa kupiga hesabu za vidole kwa kusema watashinda mechi zote kwa mkapa japo jambo hilo ni gumu mzunguko wa kwanza wamepiga moja wajue wakabisa watapasuka tena japo game moja amma mbili.

Mechi ya Mazembe tumeona kila hatua timu ya yanga ni ile ile Mazembe katoka sare na Aligers kapigwa na Hilal katoka sare na yanga.

Hesabu za vidole wamepigwa na Hilal wakapigwa na Algers wame droo na Mazembe kimatokeo wanafanana ndio timu mbili mbovu kwenye kundi inashangaza wakijinasibu kupita kwenye hilo kundi sijui kwa mpira gani na uwezo gani kiwango kipi na wachezaji wapi.

Simba siku zote wanapindua meza huwa wana wachezaji wenye kujituma na wanajua nini wanchokifanya tayari wachezaji wa simba wamejengwa mashindano ya kimataifa wao ndio wawakilishi pekee wa taifa la Tanzania.

Yanga hawatafuzu hili kundi kwa kujifanananisha na Simba hawana timu ya kushinda mechi zote.....mtanikumbuka!
Unashiriki kikombe cha kahawa na bado unapata nguvu ya kuwazodoa wenzako walioko kombe la wanaume,,ndani ya misimu 5 mwenzako anayo medali ya caf mshindi wa pili wewe ulishindwa kuvuka ata robo fainali,,hizi ni akili za wakina kisugu sio Bure!
 
Sio kosa lako, umbumbumbu ndiyo shida, Mwenye medali ya CAF ni nani? Aliyepo club bingwa ni nani?
Hata simba wanayo medali walicheza fainali 1993 Caf champions league ndio maana nimekuuliza au ww ni generation Z Mkuu hujui kama simba alishawahi kucheza fainali mkuuu.
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Hata simba wanayo medali walicheza fainali 1993 Caf champions league ndio maana nimekuuliza au ww ni generation Z Mkuu hujui kama simba alishawahi kucheza fainali mkuuu.
Champions league mwaka 93 ilikua Zamalek na Asante Kotoko hio yenu ilikua ya CUF ya Lipumba
 
Hata simba wanayo medali walicheza fainali 1993 Caf champions league ndio maana nimekuuliza au ww ni generation Z Mkuu hujui kama simba alishawahi kucheza fainali mkuuu.
Onyesha hiyo medali 😀 au ndiyo Medali motors ya kichaa wenu
 
Yaani timu yenye makombe 30+ Ligi kuu mataji ya fa na medali za CAF ikajifunze kwa timu ambayo haijawahi hata kucheza fainali Caf wala haina hata makombe 20 ya Ligi 😂😂😂 hii ndiyo definition ya umbumbumbu
 
Haki ujinga mzigo wa nnya. Hiki nini nakiona hapa unajidharirisha mbele ya makolo wenzako. Yan unajilinganishaje na mtu uliyemzidi kila kitu? Wewe kama kaka utakua na upungufu wa akili sio bure.

Pambabrni walau mfute viaibu vidogo vidogo kama hivi kutaka kusema Yanga inajifanisha na kolo wizards.
 
Haki ujinga mzigo wa nnya. Hiki nini nakiona hapa unajidharirisha mbele ya makolo wenzako. Yan unajilinganishaje na mtu uliyemzidi kila kitu? Wewe kama kaka utakua na upungufu wa akili sio bure.

Pambabrni walau mfute viaibu vidogo vidogo kama hivi kutaka kusema Yanga inajifanisha na kolo wizards.
Simba kashinda mbili!
 
Simba atabaki kuwa Simba kwenye michuano ya kimataifa na yanga wazee wa ndondo cup watabaki kuwa yanga.

Kosa kubwa hapa yanga wanataka kuifananisha timu yao na Simba kwenye mafanikio ya kimataifa ili hali timu yao ni changa, malengo ya hersi ilikuwa ni group stage na wamefika ila mashabiki wa utopolo huwa hawana kumbu kumbu kama kuku, hapa wameanza kujipa matumaini kwa kupiga hesabu za vidole kwa kusema watashinda mechi zote kwa mkapa japo jambo hilo ni gumu mzunguko wa kwanza wamepiga moja wajue wakabisa watapasuka tena japo game moja amma mbili.

Mechi ya Mazembe tumeona kila hatua timu ya yanga ni ile ile Mazembe katoka sare na Aligers kapigwa na Hilal katoka sare na yanga.

Hesabu za vidole wamepigwa na Hilal wakapigwa na Algers wame droo na Mazembe kimatokeo wanafanana ndio timu mbili mbovu kwenye kundi inashangaza wakijinasibu kupita kwenye hilo kundi sijui kwa mpira gani na uwezo gani kiwango kipi na wachezaji wapi.

Simba siku zote wanapindua meza huwa wana wachezaji wenye kujituma na wanajua nini wanchokifanya tayari wachezaji wa simba wamejengwa mashindano ya kimataifa wao ndio wawakilishi pekee wa taifa la Tanzania.

Yanga hawatafuzu hili kundi kwa kujifanananisha na Simba hawana timu ya kushinda mechi zote.....mtanikumbuka!
👎👎👎
 
Back
Top Bottom