Kosa kubwa limefanyika kumrithisha Benchikha migogoro ya zamani

Mpira wote tumeuona Ayubu kateleza wamesawazisha.
Ni lipi hapa tusilolijua?
Sawaa. Mimi nakwambia kama ulikuwa unaangalia vizuri ule mpira kipindi cha kwanza tu kingekwambia Simba haendi kushinda ile mechi na siyo kwamba ilikuwa inacheza vibaya. Sitasema zaidi ya hapo ila turudi hapa mzunguko wa kwanza ukiisha
 
Mimi napita tu. Nadhani sasa mnaelewa kwa nini wengine tumekuwa tunayasema haya ambayo tumekuwa tunayasema.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…