Kawaida na hulka ya binadamu ni kutamani kusikia au kuona kitu kipya kuliko cha zamani, wazungu wanasema test the difference.
Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea vitu walivyo fanya wakasahau kuwaeleza wapiga kura nini kipya watawafanyia wananchi endapo watachaguliwa tena.
Kwenye kampeni zao mara nyingi utawasikia tumejenga hiki, tumenunua hiki, tumejenga flyover, tumenunua ndege, tume... tume... zilikuwa nyingi, vitu ambavyo tayari watu wanavijua, inaboa, ndio maana baada ya wasanii kumaliza watu walikuwa wanaondoka kwa sababu wanajua wataambiwa yaleyale ya jana, nashangaa kwanini kampeni meneja alikuwa haja notice hilo.
Tofauti na Chadema ukienda kwenye kampeni zao walikuwa wanasema mkituchagua tuta fanya hiki, tutabadili hiki... tuta... tuta... hadi hotuba inaisha bado unawaacha watu na hamu ya kusikiliza wakidhani labda utasema kingine kipya.
Kampeni ni tofauti na hotuba au mahubiri ya kanisani ambapo waumini wanajua lazima utawaambia juu ya Yesu kurudi, kampeni ni technique ushawishi sio kutumia nguvu na kulazimisha watu wakusikilize, matendo kama ya kina Sabaya hayaongezi kura badala yake yanajenga chuki na kuipunguzia kura CCM.
Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea vitu walivyo fanya wakasahau kuwaeleza wapiga kura nini kipya watawafanyia wananchi endapo watachaguliwa tena.
Kwenye kampeni zao mara nyingi utawasikia tumejenga hiki, tumenunua hiki, tumejenga flyover, tumenunua ndege, tume... tume... zilikuwa nyingi, vitu ambavyo tayari watu wanavijua, inaboa, ndio maana baada ya wasanii kumaliza watu walikuwa wanaondoka kwa sababu wanajua wataambiwa yaleyale ya jana, nashangaa kwanini kampeni meneja alikuwa haja notice hilo.
Tofauti na Chadema ukienda kwenye kampeni zao walikuwa wanasema mkituchagua tuta fanya hiki, tutabadili hiki... tuta... tuta... hadi hotuba inaisha bado unawaacha watu na hamu ya kusikiliza wakidhani labda utasema kingine kipya.
Kampeni ni tofauti na hotuba au mahubiri ya kanisani ambapo waumini wanajua lazima utawaambia juu ya Yesu kurudi, kampeni ni technique ushawishi sio kutumia nguvu na kulazimisha watu wakusikilize, matendo kama ya kina Sabaya hayaongezi kura badala yake yanajenga chuki na kuipunguzia kura CCM.