Uko sahihi, kila siku unaporudia kumwambia mkeo unakumbuka juzi nilikununulia gauni leo tena unakumbuka lile gauni hadi anaboreka.Mume anaeongelea aliyoyafanya ni dalili za masimango.
Kiongozi mbaguzi kuwahi kutokeaNa lazima tumuondoe kwa Lazima au kwa hiari.
Kwa mfano alivokua shinyanga na Bunda alikua akilazimisha watu kwa nguvu kua msipowachagua wabunge wa Ccm sita leta maendeleo kwenye majimbo yenu...
Sisi tunataka. Haki uhuru na maendeleo ya watu!!Mitano tena ya Bombardier
Mitano tena ya Meli na vivuko
Mitano tena ya barabara
Mitano tena Madaraja
Mitano tena ya Masoko ya kisasa....
Tumia akili ulizopewa na Mungu vizuri! mbowe kaigiaje hapa? watu wanauliza sera yenu ni ipi?? wewe unaleta ujinga ujinga hapa!! mshamba!!!Mitano tena, wacha kazi iendelee. Kazi ya stiglers, standard gauge, madege, umeme vijijini vilivyobaki, hospital, barabara et
Mwondoeni Mbowe kwa lazima au hiari kwa kula ruzuku na michango ya wabunge 1.5Mil. Magufuli haondoki hata kwa greda. Maana yeye mwenyewe ndo tingatinga na limetinga mpaka Ufipa.Huwezi amini, wengi miongoni mwenu mtampigia kura JPM.
Kwani wamepoteza muda?Kawaida na hulka ya binadamu ni kutamani kusikia au kuona kitu kipya kuliko cha zamani, wazungu wanasema test the difference.
Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea vitu walivyo fanya wakasahau kuwaeleza wapiga kura nini kipya watawafanyia wananchi endapo watachaguliwa tena...
Kuna swali limulizwa. Wakati jiwe anaingia nauli za fast jet kutoka Dar Mwanza ilikuwa 70,000 tu! sasa ni 400,000!Robert Amsterdam kawadanganya, mwambieni Magufuli haondoki jana leo hata kesho. Hivyo rudisheni advance ya rasilimali mliochukua.
Kampeni inaanza saa 2 asubuhi ni miziki tu na kupongezana na kutambulishana hadi saa 9 mgombea anapopewa nafasi watu wameshachoka.Uko sahihi sana, lakini kuongezea kitendo cha kampeni kutawaliwa na sanaa kwa asilimia 80% badala ya Sera ni kosa kubwa kisiasa. Wenye busara wanakuona kama una mizaha na maisha yao.
Wangapi wana ilani ya CCM je wameisoma? najua hata wewe huna.Duuuu kweli Wazee walisema "Ukiona chongo unaita kengeza"; maana CCM ndiyo Ilani yao imesheheni tuliyofanya miaka mitano iliyopita na nini tumepanga kufanya miaka mitano ijayo. Wagombea wote wa CCM wamekuwa wakieleza haya bayana. Ni Chadema tuu ambao wamekuwa wakiogopa kusema waliyofanya miaka mitano ikiyopita maana ni mabaya saaana k.m. kupinga bajeti zote ambazo zimewanufaisha Watanzania; kupinga SGR, Umeme wa Stiegler's Gorge, Ndege za ATCL, kutaka nchi iende lockdown kwa Corona,..... n.k. Vilevile wameogopa kueleza kuwa miaka mitano ijayo wamepanga kuweka dhamana madini yetu kwa mabeberu, kuanzisha utawala wa majimbo......... Mjomba HATUDANGANYIKI. Tunawaelewa saaaana Lissu na vibaraka wote. Subiri tarehe 28 Oktoba.
Utaona akili zao baada ya tarehe 28.....uzuri upande mmoja madomokaya upande wa pili ni vitendo tu .......povu ruksaNani alikuambia CCM wana akili? Kwa ubongo ipi? Na uongozi upi? Haya majamaa yaitwayo Bashiru, Polepole, na Jiwe ndiyo think tanks za chama? Utasubiri sana.
Tatizo ni kuwa CCM hawana jipya la kufanya muhula wa pili tukikosea tena tukawapa kwa sababu wamesema wazi kuwa wapewe miaka 5 mingine wakamilishe Miradi walionza. Hayo yamesemwa na mgombea wao wa Urais, Makamu wa Rais, Waziri Mkuu na viongozi wa Chama Chao hii ina maana wamenunua madege 11 cash yamekuja 8 bado 3 wanaomba muhula mwingine madege yote yawasili ATCL ianze kazi. SGR ilikuwa ikamilike hadi Moro mwezi November, 2019 haijafika sasa wanaomba muhula mwingine wafike Moro mwezi Februari, 2021, miradi mingine inayoombewa miaka mingine 5 kumalizia ni pamoja na MGW 2115 za umeme wa Stiegler's Gorge, Uwanja wa ndege Chato, Daraja la Busisi na mingine. Wao ni tumefanya hiki na kile na kile kule mtu akihoji kutaka kuona viko wapi atakamatwa kwa uchochezi au utakatishaji fedha. Tulifanya kosa, tusirudie kosa!Kawaida na hulka ya binadamu ni kutamani kusikia au kuona kitu kipya kuliko cha zamani, wazungu wanasema test the difference.
Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea vitu walivyo fanya wakasahau kuwaeleza wapiga kura nini kipya watawafanyia wananchi endapo watachaguliwa tena.
Kwenye kampeni zao mara nyingi utawasikia tumejenga hiki, tumenunua hiki, tumejenga flyover, tumenunua ndege, tume... tume... zilikuwa nyingi, vitu ambavyo tayari watu wanavijua, inaboa, ndio maana baada ya wasanii kumaliza watu walikuwa wanaondoka kwa sababu wanajua wataambiwa yaleyale ya jana, nashangaa kwanini kampeni meneja alikuwa haja notice hilo.
Tofauti na Chadema ukienda kwenye kampeni zao walikuwa wanasema mkituchagua tuta fanya hiki, tutabadili hiki... tuta... tuta... hadi hotuba inaisha bado unawaacha watu na hamu ya kusikiliza wakidhani labda utasema kingine kipya.
Kampeni ni tofauti na hotuba au mahubiri ya kanisani ambapo waumini wanajua lazima utawaambia juu ya Yesu kurudi, kampeni ni technique ushawishi sio kutumia nguvu na kulazimisha watu wakusikilize, matendo kama ya kina Sabaya hayaongezi kura kwa CCM badala yake yanajenga chuki na kuipunguzia kura CCM.
Kwani lazima upande ndege kama kipato chako cha kuunga unga? Panda najimusa au happy nation wacha kutamani vitu usivyovimudu.Kulikuwa na ndege za FASTJET,
Dar - Mwanza ilikuwa sh elfu 70, sasa jiwe kaua Fastjet ameleta madege ya Bombadier ya kinyonyaji, Dar - Mwanza kwa sasa ni sh laki 4, afu jiwe anawadhihaki wanyonge kuwa anawasaidia!
Ni SAWA kabisa wanavyofanya CCM. Wao ndio waliopewa dhamana mika mitano iliyopita na ilani yao ndio ilikuwa inatekelezwa. Lazima waeleze kwa kina walivyotekeleza ili waweze kujenga imani ya wanainchi kupewa tena imani yao kwa miaka mitano ijayoKawaida na hulka ya binadamu ni kutamani kusikia au kuona kitu kipya kuliko cha zamani, wazungu wanasema test the difference.
Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea vitu walivyo fanya wakasahau kuwaeleza wapiga kura nini kipya watawafanyia wananchi endapo watachaguliwa tena.
Kwenye kampeni zao mara nyingi utawasikia tumejenga hiki, tumenunua hiki, tumejenga flyover, tumenunua ndege, tume... tume... zilikuwa nyingi, vitu ambavyo tayari watu wanavijua, inaboa, ndio maana baada ya wasanii kumaliza watu walikuwa wanaondoka kwa sababu wanajua wataambiwa yaleyale ya jana, nashangaa kwanini kampeni meneja alikuwa haja notice hilo.
Tofauti na Chadema ukienda kwenye kampeni zao walikuwa wanasema mkituchagua tuta fanya hiki, tutabadili hiki... tuta... tuta... hadi hotuba inaisha bado unawaacha watu na hamu ya kusikiliza wakidhani labda utasema kingine kipya.
Kampeni ni tofauti na hotuba au mahubiri ya kanisani ambapo waumini wanajua lazima utawaambia juu ya Yesu kurudi, kampeni ni technique ushawishi sio kutumia nguvu na kulazimisha watu wakusikilize, matendo kama ya kina Sabaya hayaongezi kura badala yake yanajenga chuki na kuipunguzia kura CCM.
Wananchi ndo wanaamua Nani wamchague utake usitake. Wakimchagua Lissu kwa kura nyingi ww mmoja utafanyaje, utampora ushindi?!Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER).
Msemaji Mkuu wa serikali katangaza haya kwa miaka 5, TBC inatangaza na kuonyesha kila siku, kampeni ni zaidi ya kufanya hivyo.Ni SAWA kabisa wanavyofanya CCM. Wao ndio waliopewa dhamana mika mitano iliyopita na ilani yao ndio ilikuwa inatekelezwa. Lazima waeleze kwa kina walivyotekeleza ili waweze kujenga imani ya wanainchi kupewa tena imani yao kwa miaka mitano ijayo
Mkuu inakuwaje unatumia post ile ile kila mahali? Umeamua kucopy na paste!Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
Eti wako jikoni wanaset mitamboLissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
Hajui hata lissu akijaza uwanja habari zinaanzia wapiUkisikia akili mgando ndio hizi sasa, yaani unawaponda watu kwamba wanajidanganya na habari za mitandaoni halafu nawewe uko mitandaoni humohumo.
Hivi huwezi kujiuliza Lissu habari zake hazitangazwi redioni, kwenye television na hata magazetini, watu wanahamasishana kipitia mitandao hii unayoidharau na impact yake bado ni kubwa.
Angalia mlivyochanganyikiwa, mlianza kusema watu wanaohudhuria mikutano ya Lissu wanaenda kumshangaa yeye kwa yaliyompata, saa hizi mnaanza kusema wanaenda kushangaa helcopter, lakini hujiulizi waziri mkuu anatumia helcopter pia mbona bado hapati mapokezi ya Lissu kama suala ni helcopta?
Huwezi kushindana na wakati ndugu yangu.kila chenye mwanzo kina mwisho wake pia.