antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kweli mkuu, Kura feki ndo tegemeo pekee la hawa wakoloni weusi. Wakidhibitiwa hapo, kwisha habari yao..Tukipiga kura tutazilinda ili kuzuia maboksi yenu ya kura fake kuingizwa vituoni, safari hii hamna pakutokea wapuuzi nyie.
Utaweza kulinda kura vituo 81,567?, Unajua yawezekana hapo hata 10,000 havi exist kiuhalisia?.. ninapowaambia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Tanzania ninajua ninachokisema. Nyie endeleeni kushangilia NI YEYE kama mazuzu. Hata ukoo wako wote na mkoa unaokaa wote ukampigie kura Lissu hashindi ng'o.Tukipiga kura tutazilinda ili kuzuia maboksi yenu ya kura fake kuingizwa vituoni, safari hii hamna pakutokea wapuuzi nyie.
bila shakaNa lazima tumuondoe kwa Lazima au kwa hiari. Kwa mfano alivokua shinyanga na Bunda alikua akilazimisha watu kwa nguvu kuwa msipowachagua wabunge wa Ccm sita leta maendeleo kwenye majimbo yenu.
Alivoenda Kawe kwa Alima mdee alazimisha watu wamletee gwajima akidai maendeleo hayana vyama. Magufuli ni fungu la kukosa hana jipya.
Bashiru na polepole wanamdanganya,ukichanganya na ukichaa wake lazima tumuondoe kwa lazima.
Kila kituo lzm kijulikane kilipo na kiwe na wakala wa CdmUtaweza kulinda kura vituo 81,567?, Unajua yawezekana hapo hata 10,000 havi exist kiuhalisia?.. ninapowaambia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Tanzania ninajua ninachokisema. Nyie endeleeni kushangilia NI YEYE kama mazuzu. Hata ukoo wako wote na mkoa unaokaa wote ukampigie kura Lissu hashindi ng'o.
Alone kutuita sisi wanyonge,tumesha shitukaKulikuwa na ndege za FASTJET,
Dar - Mwanza ilikuwa sh elfu 70, sasa jiwe kaua Fastjet ameleta madege ya Bombadier ya kinyonyaji, Dar - Mwanza kwa sasa ni sh laki 4, afu jiwe anawadhihaki wanyonge kuwa anawasaidia!
Utaweza kulinda kura vituo 81,567?, Unajua yawezekana hapo hata 10,000 havi exist kiuhalisia?.. ninapowaambia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Tanzania ninajua ninachokisema. Nyie endeleeni kushangilia NI YEYE kama mazuzu. Hata ukoo wako wote na mkoa unaokaa wote ukampigie kura Lissu hashindi ng'o.
Kumbe hawezi kuwa Rais kwa vile CCM wanatega mitambo. Kwa iyo bila mitambo Lissu anaweza kuwa Rais basi ondoa neno never.👆Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania.
Sio 2020 bali ni kamwe (NEVER). CCM sio wajinga wapo jikoni wanaset mitambo wakati nyie mmekazana na Mambo yasiyo na impact mpo bize kushangilia helicopter aliyokodi Lissu. Kwa akili hizi za kujipa moyo CCM itaondoka madarakani miaka 50 ijayo.
Kwahiyo unajua kabisa Magufuli hawezi kushinda kwa kura halali.Utaweza kulinda kura vituo 81,567?, Unajua yawezekana hapo hata 10,000 havi exist kiuhalisia?.. ninapowaambia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Tanzania ninajua ninachokisema. Nyie endeleeni kushangilia NI YEYE kama mazuzu. Hata ukoo wako wote na mkoa unaokaa wote ukampigie kura Lissu hashindi ng'o.
Endelea kuota au kanitafutie list yake, ukiipata najiondoa jamii forums.Kila kituo lzm kijulikane kilipo na kiwe na wakala wa Cdm
Vyovyote vile na kwa gharama yoyote ile hawezi kuwa Raisi wa Tanzania. Na sababu za msingi kabisa zipo. Nyie endeleeni kukata mauno Ni yeye.Kumbe hawezi kuwa Rais kwa vile CCM wanatega mitambo. Kwa iyo bila mitambo Lissu anaweza kuwa Rais basi ondoa neno never.👆
CHADEMAUtaweza kulinda kura vituo 81,567?, Unajua yawezekana hapo hata 10,000 havi exist kiuhalisia?..
Umeshachelewa wewe endelea kushangilia nyomi la Lissu na kuimba Ni yeye, hata mfanyeje Lissu hawezi kuwa Raisi wa Tanzania.CHADEMA
Embu njooni huku mfanyie kazi haraka hili suala... Wapiga kura hatutaki kubahatisha. Mkoloni lzm asulubiwe. Nyie jitahidi tu kuhakikisha usalama wa kura, plus kutokuwepo VITUO HEWA na KURA HEWA
Naunga mkono mawazo yako,huyu Mzee anasahau hapo hapo maana akimaliza kusema maendeleo hayana vyama anasema msipowachagua kina Gwajimaaaaaaa hakuna maendeleo!Maajabu ni pale washangiliaji huongeza sauti za vigelegele wapigavyo,utasikia waambieee babaaaaa.Aibu,mgombea anaamrisha apewe kura kwa kutoa ahadi na kutishia wapiga kura wake!Haya yanafanywa na CCM,wanaahidi,wanatishia na kuwajaza hofu wapiga kura na hakuna wa kuwakemea juu ya uvunjifu mkubwa wa maadili/makatazo yote ya uchaguzi huu wakiwamo NEC,wapo kwenye Mute mode yanapotendwa na CCM ila mambo hayo yakifanywa na wapinzani wanazuiliwa kufanya kampeni.Unamfungia mawe bondia moja ulingoni huku ndondi zikiendelea?Na lazima tumuondoe kwa Lazima au kwa hiari. Kwa mfano alivokua shinyanga na Bunda alikua akilazimisha watu kwa nguvu kuwa msipowachagua wabunge wa Ccm sita leta maendeleo kwenye majimbo yenu.
Alivoenda Kawe kwa Alima mdee alazimisha watu wamletee gwajima akidai maendeleo hayana vyama. Magufuli ni fungu la kukosa hana jipya.
Bashiru na polepole wanamdanganya,ukichanganya na ukichaa wake lazima tumuondoe kwa lazima.
Hawajawahi kuwa na Sera hawa CCM,miaka yote wanatembelea nyota ya wapinzani.Chukulia Elimu bila malipo wameinyakua kutoka CDM lakini hawakunakili jinsi CDM walivyokuwa waitekeleze ndiyo maana inawatesa.Juzi juzi tumesikia wakinakili kwa kubeep sera ya Bima ya Afya kwa Watanzania wote ya CDM wakti CCM ikiwa na Bima ya Afya inayobagua wanachama wa bima kwa madaraja na kuwakosesha huduma au dawa kwa sababu bima hailipii huduma husika ukiachilia mbali suala la Customer Care.CCM huwa haina sera bali ulaghai,miaka yote tunaambiwa uchumi unapaa huku hali ya uchumi wa wananchi ikidorora mfululizo.Hivi sera ya CCM mwaka huu ni ipi? Maana nasikia tu " Mitano tena "
Umesema kweli,maisha ni kufikia na kufanikisha mambo/vitu vipya.Maisha ni Future and Not the past.Umesema kweli lakini kuna mijitu inayolipwa kuongea pumba itakuja kukupinga hapa na kukubishia.
ukweli kampeni ni kama kutongoza vile hata mkeo ndani anapenda kuskia ahadi mpya kwamba nitakununulia nguo nitakuletea viatu nitakupeleka movies.
Lakini ukimwambia nilikununulia nguo nilikuletea viatu nilikupeleka movies anakuchoka sababu yale ameshayaona hayana jipya tena kwake.
Big up sana hili andiko ni bora kabisa kwa wenye akili.
Watu wanataka kuskia mambo mapya yajayo siyo yaliyopita.
Dogo, wakoloni woote husema hivo, lkn mwisho huzidiwa. Nguvu ya umma siyo mchezo. Hata hao mnaotegemea wawasaidie kufanya wizi kupitia kura hewa na VITUO hewa washawachokaUmeshachelewa wewe endelea kushangilia nyomi la Lissu na kuimba Ni yeye, hata mfanyeje Lissu hawezi kuwa Raisi wa Tanzania.
Lugha za tumejenga badala ya tutajenga....tumeboresha badala ya tutaboresha...yaani ngeli ya -ta- badala ya ngeli ya -me- ingetumika zaidiKawaida na hulka ya binadamu ni kutamani kusikia au kuona kitu kipya kuliko cha zamani, wazungu wanasema test the difference.
Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea vitu walivyo fanya wakasahau kuwaeleza wapiga kura nini kipya watawafanyia wananchi endapo watachaguliwa tena.
Kwenye kampeni zao mara nyingi utawasikia tumejenga hiki, tumenunua hiki, tumejenga flyover, tumenunua ndege, tume... tume... zilikuwa nyingi, vitu ambavyo tayari watu wanavijua, inaboa, ndio maana baada ya wasanii kumaliza watu walikuwa wanaondoka kwa sababu wanajua wataambiwa yaleyale ya jana, nashangaa kwanini kampeni meneja alikuwa haja notice hilo.
Tofauti na Chadema ukienda kwenye kampeni zao walikuwa wanasema mkituchagua tuta fanya hiki, tutabadili hiki... tuta... tuta... hadi hotuba inaisha bado unawaacha watu na hamu ya kusikiliza wakidhani labda utasema kingine kipya.
Kampeni ni tofauti na hotuba au mahubiri ya kanisani ambapo waumini wanajua lazima utawaambia juu ya Yesu kurudi, kampeni ni technique ushawishi sio kutumia nguvu na kulazimisha watu wakusikilize, matendo kama ya kina Sabaya hayaongezi kura badala yake yanajenga chuki na kuipunguzia kura CCM.
Kawaida na hulka ya binadamu ni kutamani kusikia au kuona kitu kipya kuliko cha zamani, wazungu wanasema test the difference.
Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea vitu walivyo fanya wakasahau kuwaeleza wapiga kura nini kipya watawafanyia wananchi endapo watachaguliwa tena.
Kwenye kampeni zao mara nyingi utawasikia tumejenga hiki, tumenunua hiki, tumejenga flyover, tumenunua ndege, tume... tume... zilikuwa nyingi, vitu ambavyo tayari watu wanavijua, inaboa, ndio maana baada ya wasanii kumaliza watu walikuwa wanaondoka kwa sababu wanajua wataambiwa yaleyale ya jana, nashangaa kwanini kampeni meneja alikuwa haja notice hilo.
Tofauti na Chadema ukienda kwenye kampeni zao walikuwa wanasema mkituchagua tuta fanya hiki, tutabadili hiki... tuta... tuta... hadi hotuba inaisha bado unawaacha watu na hamu ya kusikiliza wakidhani labda utasema kingine kipya.
Kampeni ni tofauti na hotuba au mahubiri ya kanisani ambapo waumini wanajua lazima utawaambia juu ya Yesu kurudi, kampeni ni technique ushawishi sio kutumia nguvu na kulazimisha watu wakusikilize, matendo kama ya kina Sabaya hayaongezi kura badala yake yanajenga chuki na kuipunguzia kura CCM.