Utaweza kulinda kura vituo 81,567?, Unajua yawezekana hapo hata 10,000 havi exist kiuhalisia?.. ninapowaambia Lissu hawezi kuja kuwa Raisi wa Tanzania ninajua ninachokisema. Nyie endeleeni kushangilia NI YEYE kama mazuzu. Hata ukoo wako wote na mkoa unaokaa wote ukampigie kura Lissu hashindi ng'o.