Uchaguzi 2020 Kosa kubwa walilofanya CCM kwenye kampeni zao ni kupoteza muda kusifia yaliyopita badala ya kueleza watafanya nini

Vyovyote vile na kwa gharama yoyote ile hawezi kuwa Raisi wa Tanzania. Na sababu za msingi kabisa zipo. Nyie endeleeni kukata mauno Ni yeye.
Na wewe endelea kuchambua mchele na wifi yako.
Ukipewa hoja jibu kwa hoja.
Sio kila anayejibu post yako ni mpinzani wako.
 
Kwanini CCM mtegemee vituo hewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…