Kosa la huyu mwanaume ni nini?

Mi nngekuw huy mmama hat nsinge-mynd,mana cpend unene n hat ctishikag wen my bf akiw amesimam o kumwangalia big fatty assy women!

Lol lindz una visa wewe!
 
Last edited by a moderator:

nimeipenda hii
 
ndio mana mm ctakagi hause girl kwangu
 
Mkuu hapo kosa la jamaa yako ni hizo tatu alizozipata, tena kama mlingoti wenyewe ulikuwa ni wa safari zilizofanyiwa kazi kwa utulivu mzuri - mpaka akili ikajibu, ninauhakika kama hayuko makini lazima awe mwepesi wa kusifia. Otherwise hapo hakuna hoja ya kumfanya jamaa asionekane bogus.
 
Hiyo i njia ya kumrudisha huyo chakununa, tena amnunulie pedo kabisa na ampe bele ya buyo chakununa ili aache tabiayake hy mbaya
 
Kosaliko kwa mkewe, huyu jamaa yuko poa kabisa, maana kakisifia kifaa analichokiona, lakini siyo kwamba alimsifia bali alimuuliza, SIKU HIZI UNANENEPA EHE!
 
Huyo mwanaume hana adabu kabisa!unene wa housegirl unamuhusu nini?tena si ajabu alikua anamwambia huku anajichekesha shenz type!acha anuniwe hadi akome..
Mwingine huyu dah!!
 
..... yule jamaa akamwambia "siku hizi unanenepa" ........ JF huyu jamaa kakosea wapi?

Jamaa kakosea hapo kwenye bold.
Ukitaka timbwili lisiloisha na mwanadada ambaye una mahusiano nae, basi msifie dada mwingine mbele yake kwamba kapendeza, kanenepa, anavutia, ana nywele nzuri, anatembea kwa madaha, umependa mavazi yake n.k. Huo ugomvi unaweza kutulizwa na FFU tu! Mwambie jamaa amtake radhi mkewe kwa kosa hilo.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…