Kosa la huyu mwanaume ni nini?

Kosa la huyu mwanaume ni nini?

Mi nngekuw huy mmama hat nsinge-mynd,mana cpend unene n hat ctishikag wen my bf akiw amesimam o kumwangalia big fatty assy women!

Lol lindz una visa wewe!
 
Last edited by a moderator:
Mi naona vitu vingine si rahisi kujugde mpaka uwe kwenye eneo la tukio.
Huyo baba anaweza kuwa na kosa au la.
Voice tone aliyoitumia kusema hayo maneno na jinsi alivyokua akimwangalia huyo binti wakati akiyasema hayo ndio inaweza ikakufanya mtu ujue mmmmh huyu tayari anamtamani housegirl au kamwambia tu.
Jamani sio dhambi baba kuongea na housegirl cha msingi ni wanaongea vipi tu,dada naye ni binadamu na anapokua nyumbani kwako ni kama tu sehemu ya familia hivyo sio kila baba akiongea au kucheka naye tu iwe tatizo.

nimeipenda hii
 
ndio mana mm ctakagi hause girl kwangu
 
Mkuu hapo kosa la jamaa yako ni hizo tatu alizozipata, tena kama mlingoti wenyewe ulikuwa ni wa safari zilizofanyiwa kazi kwa utulivu mzuri - mpaka akili ikajibu, ninauhakika kama hayuko makini lazima awe mwepesi wa kusifia. Otherwise hapo hakuna hoja ya kumfanya jamaa asionekane bogus.
 
Hiyo i njia ya kumrudisha huyo chakununa, tena amnunulie pedo kabisa na ampe bele ya buyo chakununa ili aache tabiayake hy mbaya
 
Kosaliko kwa mkewe, huyu jamaa yuko poa kabisa, maana kakisifia kifaa analichokiona, lakini siyo kwamba alimsifia bali alimuuliza, SIKU HIZI UNANENEPA EHE!
 
..... yule jamaa akamwambia "siku hizi unanenepa" ........ JF huyu jamaa kakosea wapi?

Jamaa kakosea hapo kwenye bold.
Ukitaka timbwili lisiloisha na mwanadada ambaye una mahusiano nae, basi msifie dada mwingine mbele yake kwamba kapendeza, kanenepa, anavutia, ana nywele nzuri, anatembea kwa madaha, umependa mavazi yake n.k. Huo ugomvi unaweza kutulizwa na FFU tu! Mwambie jamaa amtake radhi mkewe kwa kosa hilo.

 
Back
Top Bottom