Uchaguzi 2020 Kosa la kimkakati walilofanya CHADEMA

Pumba tupu lumumba fc

Lissu kawakamata. Amewalia timing.

Tatizo Rais wenu anatabilika. Ndio maan Lissu anajua kile anachotarajia kufanya na kutoa onyo mapema.
 
MWAKA WATU WAMESHITUKA
 
Utakuwa unafaidika moja kwa moja na uwepo wa ccm, jaribu kuacha ubinafsi angalia maslahi mapana ya nchi, ni wakati wa kuachana na chama chakavu.
Huyu lazima atakuwa ni Msukuma Kasheku tu. Maana hakuna mwenye akili ya chini kiasi hiki .
 
Usikute alieandika huu ujinga ni msomi wa chuo kikuu anae tafuta uteuzi au usikute ni usalama wa Taifa
 
 
Lissu ni zawadi kutoka kwa mungu kuja kwa watanzania ili awakomboe
Wameanza kuweweseka. Hata polisi walikuwa wamekosa mtu kama Lissu. Mwaka huu watakuwa upande wetu. Sheria na maonyo ya Lissu yanatoa mwanga kwa vyombo vya dola kutenda haki.
 
Hadi baba yako anavuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…