Kosa la kiufundi la wanaume linalopelekea kupata wenza wasiofaa katika maisha ya ndoa zao!

Yani umeandika point tupu mkuu Uzi nimeuweka Bookmark,

Tatizo ni kwamba ushauri watu wanapewa vzuri kabsa na wanaupokea ila wakitoka online tu kila mtu analudia mapito yake......Wanaume tubadilike.
 
Wanaume wengi wenye pesa huwa hawawajui vizuri wanawake

Ndo maana huwa ndoa zao haziishi changamoto
wahuni ndio tunaenda sawa na wanawake,,,,hata ukiwa na pesa ila sio pesa iliyofanya kazi...wanaume ehhh hap akazi tu
 
Yupo la pili fulani hivi ana isumbua hatari. Hata nikimpa sharti la kumkuta njiapanda saa 4 usiku anatekeleza. Huyu anafaa kuwa mke? Mbona hahoji chochote?
 
Ni kazi kweli
 
Yupo la pili fulani hivi ana isumbua hatari. Hata nikimpa sharti la kumkuta njiapanda saa 4 usiku anatekeleza. Huyu anafaa kuwa mke? Mbona hahoji chochote?
Huyo anakupenda sasa.
 
Reactions: G4N
Wanaume wengi wenye pesa huwa hawawajui vizuri wanawake

Ndo maana huwa ndoa zao haziishi changamoto
Tatizo ni kuwa kama una mkwanja wa haja wanawake wengi wanakuwa wanataka pesa yako na ku fake upendo, so inakuwa ni rahisi tu kwa mwanaume husika kuangukia mikononi mwa tapeli maana anaigiziwa vigezo vyote vya wife material. Mwisho wake anakuja kugundua hakupata bali alipatikana yeye
 
Point ya maana kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…