Ndugu kuna watu wamezaliwa wanasema acha tuHahahahahaha maneno yanaua mtu!!!hyo ni presha cio bure!!!
ni wewe tu na umakini wakoDragoon mi najua $$$ sasa hpa c unamchamba yte ili mia tano itoke kihalali!!!hahahaha
Ni ushahidi gani utakaotakiwa niuwasilishe kuonesha nimetukanwa?uraiani hilo ni kosa la jinai, kutukana ni kinyume cha sheria ya kanuni ya adhabu, sura ya 15 kifungu chs 89 (1). Adhabu yake ni kifungo cha miezi sita jela
Hapo nafikiri unaweza kula mvua hizo au kulipa faini ya Tsh.1000akiumia unakula mvua miaka saba (7), ni kifungu namba 225 sura ya 16