CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Kama kaisikiliza hii ngoma atakuwa analia sasa hivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Isikilize YouTube inaitwa best friendWeek ngoma tusikilize
Ogopa mtu anayeweza kuandika mashairi dakika 8 kutoka kwenye mstari mmoja. Huyu haji kuishiwa, writer's block atakuwa anaisikia tu kwa wengine.Rapcha kaandika mstari mmoja kajibiwa nyimbo nzima tena ya dakika 10 😂😂😂
Kaonyesha uwezo mdogo sana, line moja inaweza eleza story ya dakika 50 kama ukiwa fundi wa uhandishi.Ogopa mtu anayeweza kuandika mashairi dakika 8 kutoka kwenye mstari mmoja. Huyu haji kuishiwa, writer's block atakuwa anaisikia tu kwa wengine.
Nakubali sana mkuuKaonyesha uwezo mdogo sana, line moja inaweza eleza story ya dakika 50 kama ukiwa fundi wa uhandishi.
Abakie kwenye mihadithi yake yenye part 1 mpk 5 kama shigongo hawezi ufundi wa uhandishi kapotezwa vibaya sana.
Rapcha akiamua kumjibu kwa verse moja jamaa itambidi ahangaike amtungie album yenye nyimbo mia, yaani mstari mmoja kahangaika kuujibu kwa eight minutes plus diss-track.Rapcha kaandika mstari mmoja kajibiwa nyimbo nzima tena ya dakika 10 [emoji23][emoji23][emoji23]
Fact.Kaonyesha uwezo mdogo sana, line moja inaweza eleza story ya dakika 50 kama ukiwa fundi wa uhandishi.
Abakie kwenye mihadithi yake yenye part 1 mpk 5 kama shigongo hawezi ufundi wa uhandishi kapotezwa vibaya sana.
Uyu mwamba kwa rapcha bado sana ye aendelee na mashairi yake ya part one, part two part three..............Rapcha akiamua kumjibu kwa verse moja jamaa itambidi ahangaike amtungie album yenye nyimbo mia, yaani mstari mmoja kahangaika kuujibu kwa eight minutes plus diss-track.
Acheni kumpaisha huyo dogo... hagusi level za dizasta kabisa [emoji23]...ingawa naona haikuwa necessary Kwa dizasta kureplyUyu mwamba kwa rapcha bado sana ye aendelee na mashairi yake ya part one, part two part three..............
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Buubaa moja tu yaani just a very simple and straight sentence kaijibu kwa mihemko na mtiririko wa ngonjera.Uyu mwamba kwa rapcha bado sana ye aendelee na mashairi yake ya part one, part two part three..............
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app