Kosa la Rapcha kwenye his latest song ilikuwa ni kumtaja Dizasta Vina aka The Black Maradona

Kosa la Rapcha kwenye his latest song ilikuwa ni kumtaja Dizasta Vina aka The Black Maradona

Nafaka inaonekana Dizasta alikuwa na haraka, beat ilikuwa vizuri ila inaonekana yeye ndie aliyekuwa anataka kazi iishe haraka.
Kwa beat zote alizoimbia hii ilikuwa na utofauti mno, hii beat imejaa kidogo tofauti na beat ambazo huwa anazitumia ambazo zinakuwa na chords za mbali na snare za kupiga kwa wakati mmoja (zinaachaina nafasi kubwa kati ya 4 bars zinaweza kupigwa nne au mbili).


Kwa utaalamu wa kutengeneza beat hii beat ilijaa kiasi chake ila yeye ndie aliyeshindwa kui"master".

Ready to accept corrections
 
binafsi kwa heshima yangu kwa dizasta naona akupasa kumjibu rapcha...

ukizingatia after ile diss track ya rapcha akuonesha kama kachukizwa

sema ni kawaida katika hip hop kumalizana kwa ngoma!
Hivi umeangalia impact ya hii ngoma Kwa upande wa streams, trending kule YouTube, kujitangaza Kwa ujumla, mtonyo ataoingiza??

Bro life is not all about stupid legacy, you have a stomach to feed, ni akili kuangalia upepo unakoelekea
 
Nafaka inaonekana Dizasta alikuwa na haraka, beat ilikuwa vizuri ila inaonekana yeye ndie aliyekuwa anataka kazi iishe haraka.
Kwa beat zote alizoimbia hii ilikuwa na utofauti mno, hii beat imejaa kidogo tofauti na beat ambazo huwa anazitumia ambazo zinakuwa na chords za mbali na snare za kupiga kwa wakati mmoja (zinaachaina nafasi kubwa kati ya 4 bars zinaweza kupigwa nne au mbili).


Kwa utaalamu wa kutengeneza beat hii beat ilijaa kiasi chake ila yeye ndie aliyeshindwa kui"master".

Ready to accept corrections
Kama Kuna ngoma za dizasta sizifaham hazizid 5

Hii bint ndio Kali kuliko zote na jamaaa kapita mule mule, hii ngoma ni perfect
 
Hivi umeangalia impact ya hii ngoma Kwa upande wa streams, trending kule YouTube, kujitangaza Kwa ujumla, mtonyo ataoingiza??

Bro life is not all about stupid legacy, you have a stomach to feed, ni akili kuangalia upepo unakoelekea
Iko hivi mkuu...

Unadai unamjua dizasta vizuri katika ngoma zake uenda ujasikiliza tano, Na sijui iyo binti ndo ngoma kali kwako!

Umjui dizasta nigga na ungemjua dizasta usingeshangaa diss track kwenda 13 katika trending!

Coz sio ajabu kwa dizasta... Akiwa ivyo ivyo na track hizo hizo alishaingia hadi top 10 ya trending, fatilia confession of mad son, na nyingne nyingi tu!

Dizasta ni mkubwa kwa rapcha kwa knowledge ya hip hop na umri, ivyo sitegemei kama vina ni mtu wa kutegemea msuguano na rapcha ili aende trending!

Dizasta ana game yake na watu wanaoelewa game yake, na ana athari katika hip hop ya bongo kwani ni wachache wanafanya icho afanyacho!

Japo ndo mnaita stupid legacy!

Kama ni mainstream dizasta kashaishika muda tu kwa angle yake...

Ndio maana kwenye iyo diss kamwambia rapcha

Kunitaja aikuwa ujasiri ni suicide
msenge nishadiss hadi kanisa langu ukumbuki
au unataka niue mende kwa bunduki!
 
Rapcha akiamua kumjibu kwa verse moja jamaa itambidi ahangaike amtungie album yenye nyimbo mia, yaani mstari mmoja kahangaika kuujibu kwa eight minutes plus diss-track.
Hiyo sio diss,,

Amemuelimisha,, that's why alisema
"shukuru your brother nipo so school is free"
 
Hauna akili rapcha una mlinganisha na dizasta
Hauna akili wewe pamoja na mama yako mzazi na baba yako mzazi, stupid b*tch-azz zombie.
Huo upuuzi Dizasta usilazimishe kila mtu auone kama unavyouona wewe.
 
Rapcha akiamua kumjibu kwa verse moja jamaa itambidi ahangaike amtungie album yenye nyimbo mia, yaani mstari mmoja kahangaika kuujibu kwa eight minutes plus diss-track.
Ile sio diss,ile ni shule ambayo hata wewe ungestahili kuipata.hope umejifunza vingi
 
Acheni kumpaisha huyo dogo... hagusi level za dizasta kabisa [emoji23]...ingawa naona haikuwa necessary Kwa dizasta kureply
Kujibu kwa ngoma ni moja ya misingi ya hip hop hasa kwa rapa wanaoendana kiuwezo
 
Mashoga wa sinza bhana

When an idiot acknowledge ignorance of another idiot it make two perfect idiots
Shoga ni baba yako mzazi. You're more than just an idiot, you're a fool.
You being a stupid fanatic of that dude Dizasta doesn't make him anything more than just a local common rap artist like others, I level him far below Rapcha. People have different tests.
By the way, I've never lived in Sinza.
 
Hiyo sio diss,,

Amemuelimisha,, that's why alisema
"shukuru your brother nipo so school is free"
He is just on denial but it's through and through a diss-track, those blah blahs za free school and other bullcraps kila mtu anaweza kutamba kwa njia hizo za kitoto.
 
He is just on denial but it's through and through a diss-track, those blah blahs za free school and other bullcraps kila mtu anaweza kutamba kwa njia hizo za kitoto.
Za kitoto? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Sishangai sababu uko light headed,,, kaisikilize confession of a mad philosopher ndo uje ubishane na mm,, hizo mumble raps zenu hata my dog anafanya
 
Back
Top Bottom