Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂😂🤣🤣 natamani kujua huko mbeleni joti aliongea nn..? nmecheka kinoma
Kijana alishapaniki😂😂😂Machawa wanaendelea kuneemeka kutoka kwa Matajiri nchini, angalia hapa jinsi Mwijaku na Babalevo wanavyopata pesa kiulaini.
Joti kosa lako ni kutokuwa Chawa, kama ungekuwa chawa basi nawewe ungepata mtonyo wa Silent Ocean.
View attachment 2868300
Alafu Joti ndio kashika Matangazo ya Silent Ocean anakosaje mgao? nafikiri walikuwa wanatania.Kwahio ulieleta uzi unadhani hapo ni ukweli??? wamepanga iwe hivyo kusherehesha ukumbi.Joti hawezi kuachwa kwenye huo mgao wa milioni 10.
exactly..ilikua utani tu.Alafu Joti ndio kashika Matangazo ya Silent Ocean anakosaje mgao? nafikiri walikuwa wanatania.
NILIKUWEPO ENEO LA TUKIO MBASHARA KBSA JOTI ALISEMA NA YEYE ANATAKA HIZO 10 M BASI WAKAZOZANA PALE IKABIDI BOSS APIGIWE CM AKASEMA NA JOTI ATAMPA 10M ZAKE🤣🤣 natamani kujua huko mbeleni joti aliongea nn..? nmecheka kinoma
[emoji23][emoji23][emoji23] ni huzuniMaisha haya, yani milioni 10 zinaingia kiulaini kabisa, huku kunamfanyakazi anajaza fomu ya mkopo wa mil. 5 atakatwa miaka isiopungia 5