Kosa lile BRT Mbagala

Kosa lile BRT Mbagala

Kwasenga

Member
Joined
Feb 24, 2021
Posts
55
Reaction score
53
Naipongeza serikali kwa ujenzi wa BRT Phase ya Mbagala kwenda Kariakoo. Shida inakuja pale inapojengwa barabara bila vituo vya daladala wakati wakijua fika kuwa lazima daladala ziwepo.

Angalia shida iliyopo BRT ya kuanzia kimara mpaka inapoishia, barabara haina vituo vya daladala na wakati daladala zina rout kuanzia kimara. Hii inapelekea foleni sana popote penye kituo cha mwendokasi kwa maana daladala na zenyeww huweka vituo hapo hapo kuchua abiria.

Mfano mzuri ni pale Korogwe, Baruti na Kibo. Mistake ile ile inatengenezwa na BRT ya mbagala, hakuna vituo vya daladala kabisa. Hii ina maana ukiwa unafika kituoni, barabara moja inakufa kwa ajili ya kuifanya kuwa kituo cha daladala na foleni itakuwa kama maeneo niliyoyataja.

Swali ni kwamba, je na hilo linahitaji shule kuliona?
 
Naipongeza serikali kwa ujenzi wa BRT Phase ya Mbagala kwenda Kariakoo. Shida inakuja pale inapojengwa barabara bila vituo vya daladala wakati wakijua fika kuwa lazima daladala ziwepo.

Angalia shida iliyopo BRT ya kuanzia kimara mpaka inapoishia, barabara haina vituo vya daladala na wakati daladala zina rout kuanzia kimara. Hii inapelekea foleni sana popote penye kituo cha mwendokasi kwa maana daladala na zenyeww huweka vituo hapo hapo kuchua abiria.

Mfano mzuri ni pale Korogwe, Baruti na Kibo. Mistake ile ile inatengenezwa na BRT ya mbagala, hakuna vituo vya daladala kabisa. Hii ina maana ukiwa unafika kituoni, barabara moja inakufa kwa ajili ya kuifanya kuwa kituo cha daladala na foleni itakuwa kama maeneo niliyoyataja.

Swali ni kwamba, je na hilo linahitaji shule kuliona?
Mkuu hii miradi plan zake ni kwamba hizo Daladala hazitakiwi kuwepo kwenye barabara iliyotayari na mfumo wa BRT.
Badala yake zile dala dala za kawaida kama zinatoa Huduma zinatakiwa kuishia kwenye feeder station kama ile iliyopo morroço,Magomeni mapipa na njia ya mbagala ipo hapo njiapanda ya kijichi.

Tatizo letu tunaweka vitu vya kisasa huku hatukujiandaa kuvihudumia jinsi inavyopaswa kuwa.

Malengo ya hii miradi inatakiwa ifikapo 2030 zipatikane phase 6 zilizokamilika.
Halo daladala zitakuwa zikienda njia zisizokuwa na BRT tuu.
 
Mkuu hii miradi plan zake ni kwamba hizo Daladala hazitakiwi kuwepo kwenye barabara iliyotayari na mfumo wa BRT.
Badala yake zile dala dala za kawaida kama zinatoa Huduma zinatakiwa kuishia kwenye feeder station kama ile iliyopo morroço,Magomeni mapipa na njia ya mbagala ipo hapo njiapanda ya kijichi.

Tatizo letu tunaweka vitu vya kisasa huku hatukujiandaa kuvihudumia jinsi inavyopaswa kuwa.

Malengo ya hii miradi inatakiwa ifikapo 2030 zipatikane phase 6 zilizokamilika.
Halo daladala zitakuwa zikienda njia zisizokuwa na BRT tuu.
Hilo la njia kuwa na BRT tu silioni. Mfano Tandika kwenda Kongowe zitapita wapi? Huko hakuna huduma za BRT na maeneo mengine bus zinapita mbagala kama kituo kingine tu.
 

Badala yake zile dala dala za kawaida kama zinatoa Huduma zinatakiwa kuishia kwenye feeder station kama ile iliyopo morroço,Magomeni mapipa na njia ya mbagala ipo hapo njiapanda ya kijichi.

Tatizo letu tunaweka vitu vya kisasa huku hatukujiandaa kuvihudumia jinsi inavyopaswa kuwa.

Malengo ya hii miradi inatakiwa ifikapo 2030 zipatikane phase 6 zilizokamilika.
Halo daladala zitakuwa zikienda njia zisizokuwa na BRT tuu.
Mkuu hii miradi plan zake ni kwamba hizo Daladala hazitakiwi kuwepo kwenye barabara iliyotayari na mfumo wa BRT.
Badala yake zile dala dala za kawaida kama zinatoa Huduma zinatakiwa kuishia kwenye feeder station kama ile iliyopo morroço,Magomeni mapipa na njia ya mbagala ipo hapo njiapanda ya kijichi.

Tatizo letu tunaweka vitu vya kisasa huku hatukujiandaa kuvihudumia jinsi inavyopaswa kuwa.

Malengo ya hii miradi inatakiwa ifikapo 2030 zipatikane phase 6 zilizokamilika.
Halo daladala zitakuwa zikienda njia zisizokuwa na BRT tuu.
Lakini kumbuka barabara ya Kimara hawajawahi kufuta rout za daladala, kwa hiyo walitakiwa wajenge kulingana na mazingira yetu. Vituo vilikuwa na umuhimu sana.
 
Naipongeza serikali kwa ujenzi wa BRT Phase ya Mbagala kwenda Kariakoo. Shida inakuja pale inapojengwa barabara bila vituo vya daladala wakati wakijua fika kuwa lazima daladala ziwepo.

Angalia shida iliyopo BRT ya kuanzia kimara mpaka inapoishia, barabara haina vituo vya daladala na wakati daladala zina rout kuanzia kimara. Hii inapelekea foleni sana popote penye kituo cha mwendokasi kwa maana daladala na zenyeww huweka vituo hapo hapo kuchua abiria.

Mfano mzuri ni pale Korogwe, Baruti na Kibo. Mistake ile ile inatengenezwa na BRT ya mbagala, hakuna vituo vya daladala kabisa. Hii ina maana ukiwa unafika kituoni, barabara moja inakufa kwa ajili ya kuifanya kuwa kituo cha daladala na foleni itakuwa kama maeneo niliyoyataja.

Swali ni kwamba, je na hilo linahitaji shule kuliona?
Lengo lao ni kuua root za daladala zibaki mwendo kasi zenyewe
 
Sio rahisi zingeanza kufa daladala za kimara
Kama sio daladala zinazotoka tandika na makumbusho abiria wa kimara wangepanda gadi gani zaidi ya hizo mwendo kasi.
Hivi umeoshaona daladaka za kimara magomeni au k.koo kama zamani?
 
Hakuna daladala za Kimara ila kuna daladala kibao zinazoenda Mbezi mwisho kupitia Kimara.
Ambazo hazina parking zaidi ya kupark barabarani. Na ndo itakavyokuwa kwa Mbagala, kwa maana daladala za Tandika zitapita hapo.
 
Kama sio daladala zinazotoka tandika na makumbusho abiria wa kimara wangepanda gadi gani zaidi ya hizo mwendo kasi.
Hivi umeoshaona daladaka za kimara magomeni au k.koo kama zamani?
Maadamu usafiri upo wanafika sio shida.Daladala haiwezi kosa kazi
 
Watumishi wa serikali hawatumii akili zao, bali maamuzi kutoka juu.
Huu utamaduni ndiyo tatizo.
Wengi wameliona hilo tatizo, nani wa kurekebisha? Maamuzi ya kujenga BRT yalifanywa huko nyuma.
 
Back
Top Bottom