Kosa ni kupasha kiporo...

Wee mjanja sana...safii
 
Sio rahisi kihivyo dada. Kuna factors nyingi saana. Cc Sky Eclat
Weee unaleta masihara[emoji15] [emoji15] ....tena unaweza kupata LUKU hata hujui ulipataje asee!

Kuna a friend mmoja alikuwa katulia sana! She's married mpaka mda huu kapima anao haelewi kaupatia wapi na ndo swali lake kila siku! Mume wake hana[emoji15] [emoji15]

Hadi namuonea huruma!
 
Hivi unafahamu kuwa kuna baadhi ya watu huwa hawapati kabisa Ngoma?
 
Mmh...Unauhakika gani hajawahii uza Mechi???
 
Uko Sahihi Mkuu,ukimwambia Tukapime,eti ohh kwani Unataka kunioa?Au Nina MTU wangu,Ukitumia Condom eti hasikii Raha,yaani....Acha tuuu!
Halafu siku hizi hata dawa wanachukua kwa Siri sanaaa!Ikiwezekana wanachukulia hata Nje ya Nchi,Au Wanatuma mhudumu na Kumpa hela ili wasijulikane!
Sawa tuuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…