Wee mjanja sana...safiiWife niruhusu niseme hili kwa ajili ya vijana...
Wakati nikiwa kijana sikuwa nikikosa kuwa na pakiti ya KINGA mfukoni. Popote nilipo.
Mara nyingi inakuwa unatunukiwa game halafu naingia kwenye mfuko natoa pakiti, mdada anaanza kuongea, "we mhuni unatembea na kinga..." Mara nyingi vijana huogopa kuambiwa hivyo (au maneno yafananyo na hayo) na kujikuta katika mitihani ya huyo X na mwenza wake.
Kama umeamua kuwa mhuni, tembea na kinga zako, BETTER SAFE THAN SORRY.
Hatutaki watoto wasiotarajiwa.
Hatutaki maradhi yanayozuilika.
Alamsik.
poa poa, soon ntakuwekea hii elimu japo Kwa ufupi.Naomba hii elimu kama hautajali, hata kwa kifupi tu.
Weee unaleta masihara[emoji15] [emoji15] ....tena unaweza kupata LUKU hata hujui ulipataje asee!Sio rahisi kihivyo dada. Kuna factors nyingi saana. Cc Sky Eclat
Ukipata mechi ya ghafla bin vuuu unajilipua sio??
Hivi unafahamu kuwa kuna baadhi ya watu huwa hawapati kabisa Ngoma?Weee unaleta masihara[emoji15] [emoji15] ....tena unaweza kupata LUKU hata hujui ulipataje asee!
Kuna a friend mmoja alikuwa katulia sana! She's married mpaka mda huu kapima anao haelewi kaupatia wapi na ndo swali lake kila siku! Mume wake hana[emoji15] [emoji15]
Hadi namuonea huruma!
Wee mjanja sana...safii
Mmh...Unauhakika gani hajawahii uza Mechi???Weee unaleta masihara[emoji15] [emoji15] ....tena unaweza kupata LUKU hata hujui ulipataje asee!
Kuna a friend mmoja alikuwa katulia sana! She's married mpaka mda huu kapima anao haelewi kaupatia wapi na ndo swali lake kila siku! Mume wake hana[emoji15] [emoji15]
Hadi namuonea huruma!
Yaah kuna watu Hawapatii Ukimwi kabisaa hata wakishiriki na MTU mwenye NgomaaHivi unafahamu kuwa kuna baadhi ya watu huwa hawapati kabisa Ngoma?
Ndio sisi wenye group O eti???mmmhHivi unafahamu kuwa kuna baadhi ya watu huwa hawapati kabisa Ngoma?
Wala sio story ni kitu cha kweli kabisa...duh!!! ila ni story tu Eve... au ?
Ni watu wa namna gani haoYaah kuna watu Hawapatii Ukimwi kabisaa hata wakishiriki na MTU mwenye Ngomaa
Uko Sahihi Mkuu,ukimwambia Tukapime,eti ohh kwani Unataka kunioa?Au Nina MTU wangu,Ukitumia Condom eti hasikii Raha,yaani....Acha tuuu!Ndio maana huwa siwashauri vijana kulala na mwanamke mloachana miezi kibaoooooo, hujui kafanya mangapi ,kagongwa nanan na wanapi ...naww kisa ubooo umedinda unakimbilia hahahah.
Mademu wa ivo dawa yao ni Moja kupima !!kisha pasha kiporo.
Au Achana naye Jumla tu ,kwan nn?? .
Eti ndo km ivi, mnakutana JF alafu from nowhere, demu anataka mkulane,, ukimwambia Tutapima kwanza ....Anakupiga chenga.
Ukimwambia nitavaa kondom...anakujibu.Kondomu zinamchubua eti asikii Raha[emoji53][emoji53][emoji53][emoji53].
Umuue nani ????[emoji53][emoji53] kwa dunia hii ya watu wenye stress na roho Mbaya??
Sukari ya michepuko on air!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dawa ni Kuwapiga makofi Chura zao tuu Mkuu!....