Daah.
Na mke wa mtu anavyonitafuta sasa ili tupashe kiporo.
Inawezekana kuna jambo?
Mpenda Chura anakutafuta!!!!Trust No One
Mkuu ngoma si unapata kwa Dakika tuu,Ni kama mimba,danger zone imooo,Hii story ina mafunzo makubwa, Back to topic. Kulala na demu siku moja hata Kama ana ngoma, ni vigumu kupata.. Pia je, yule mwanamke alikuwa na uhakika gan kuwa siku waliyo lala alifanikiwa kumpa ngoma?
Otherwise wamelala zaid ya hyo mara moja uliyo isemea kwenye hii story
Sasa Kwanini msipime ili Muondoe hiyo tabu tupu?😀😀😀haya mpenzi, tuendelee tu kutumia ndom japo nayo tabu tupu!!!
Teh mwambie nina mjusiMpenda Chura anakutafuta!!!!
Utapima kila sikuSasa Kwanini msipime ili Muondoe hiyo tabu tupu?
Wee mjanja sana...safii
Kwani unafanya kila Siku?Utapima kila siku
Teh mwambie nina mjusi
tamaa tuacheeeDuuh! Dakika 2 tu, Anah katoka kunitafuta baada ya miaka 2, jibu eti nimekukumbuka mpk nimeghuna..!
hii sio kauli ya kutolew na mwanaume kabisa...Bora mi nnaekataaga viporo..
APA kufanya ad SKU ya ndoa
Sina churaAu Mpaka abadilishe avator yake ndo Umpe Chura???
Hapana, kirusi kinavyo ingia mwilini inabidi kifanye attachments kwenye Receptors ziitwazo C-C Chemokine receptors such as (CCR5 and CXR4).Baada ya kuji attach katika hizo Receptors then ndo kitaanza kufanya Multiplication.Ndio sisi wenye group O eti???mmmh
Umeeleza yote mkuu na ni baada ya masaa 72 ndiyo full attachment hutokea, kabla ya hapo ukipata first aid unaweza kusave kula njugu for the rest of your life.Hapana, kirusi kinavyo ingia mwilini inabidi kifanye attachments kwenye Receptors ziitwazo C-C Chemokine receptors such as (CCR5 and CXR4).Baada ya kuji attach katika hizo Receptors then ndo kitaanza kufanya Multiplication.
Hivyo basi, kuna baadhi ya Watu They lack those Receptors Naturally.
So, hata akipata virusi vya HIV vinashindwa kuwa na sehemu ya kujishikiza.. Na kufanya multiplication.
Therefore they tend to fade away themselves baada ya Muda.
Nimejaribu kuelezea simply zaidi kwa kiswahili ili ieleweke, ila kwa lugha ya kitaalamu ingekuwia vigumu kuelewa.
Cc Sky Eclat ongezea chochote.
Natumai umenielewa Evelyn Salt
Ukitaka unaweza kwenda kupimwa, ili ujue if unazo hizo receptors ama hauna
Yeah nmeelewa ahsanteHapana, kirusi kinavyo ingia mwilini inabidi kifanye attachments kwenye Receptors ziitwazo C-C Chemokine receptors such as (CCR5 and CXR4).Baada ya kuji attach katika hizo Receptors then ndo kitaanza kufanya Multiplication.
Hivyo basi, kuna baadhi ya Watu They lack those Receptors Naturally.
So, hata akipata virusi vya HIV vinashindwa kuwa na sehemu ya kujishikiza.. Na kufanya multiplication.
Therefore they tend to fade away themselves baada ya Muda.
Nimejaribu kuelezea simply zaidi kwa kiswahili ili ieleweke, ila kwa lugha ya kitaalamu ingekuwia vigumu kuelewa.
Cc Sky Eclat ongezea chochote.
Natumai umenielewa Evelyn Salt
Ukitaka unaweza kwenda kupimwa, ili ujue if unazo hizo receptors ama hauna
Aliumia kiasi kwamba alishindwa kuhandle hasira yake ikazaa chuki na kisasi na uuaji.Hujawahi kuona mtu kachukia lakini anasema "am okay" na ukimwangalia yupo okay kweli.
Anyway huyo mwanamke ni roho mbaya tu na possible hiyo miaka yote hakupata mtu hata wa kumwambia kwa utani amuoe, akaona arudishe hasira kwa jamaa.
Kama muda wote huo kapanga kisasi sidhani anajali alichofanyaAliumia kiasi kwamba alishindwa kuhandle hasira yake ikazaa chuki na kisasi na uuaji.
Too bad kamuumiza jamaa na sio mke. Ila hii itamtesa maisha yake yote kwa alichokifanya kuambukiza wenzie
Mbaya sana kuumizwa, kuumizwa bila kupatw msaada inapelekea binadamu kuwa mbaya kuliko mnyama.Kama muda wote huo kapanga kisasi sidhani anajali alichofanya
Haya yapo sana tu, Mungu atuepushe tu kama alivomuepusha mke wa jamaaMbaya sana kuumizwa, kuumizwa bila kupatw msaada inapelekea binadamu kuwa mbaya kuliko mnyama.
Nimesoma huu uzi nimeogopa nimehis ndio mm nimeletewa huo Ukimwi.
Asante kwa ujumbe
Halafu kuna mwehu mmoja kaoa bado ana hii tabia nataman nimtumie huu ujumbe