Lakin unajua bado inauma mume kuwa na ugonjwa, hata ktk tendo hu enjoy sis unawaza tu ukimwi kuwa na ww utapataHaya yapo sana tu, Mungu atuepushe tu kama alivomuepusha mke wa jamaa
Ahaa.Mmkuu mwambie Huyo Mke wa MTU mkapime!
Ahaa.
Siwezi kumtafunna aisee.Mkishapima ndo umtafune....
Uko Sahihi Mkuu,ukimwambia Tukapime,eti ohh kwani Unataka kunioa?Au Nina MTU wangu,Ukitumia Condom eti hasikii Raha,yaani....Acha tuuu!
Halafu siku hizi hata dawa wanachukua kwa Siri sanaaa!Ikiwezekana wanachukulia hata Nje ya Nchi,Au Wanatuma mhudumu na Kumpa hela ili wasijulikane!
Sawa tuuu!
Rafiki wacha zako
mambo reytamaa tuacheee
HongeraUkimwi upo aisee, nakumbuka mke wangu niliyenaye. Kipnd tupo kweny mahusiano nilikuwa bingwa wa kucheat. Wakt yy ni mwaminifu siku moja niliopoa demu mlokole, nkamtongoza akazama, nkachukua vipimo vya VVU na condomu. Kufka getho nkasema nigonge bila kondomu bao mbili half nimpime ili niendelee nyama nyama. Nkaanza game ila kondomu kila nilivyobadilisha ilikuwa INA damu. Nkamaliza nkasema nimpime, ile kuweka damu tu ngoma ikasoma POSITIVE. tangu siku ile nkaokoka, now SITAKI usaliti. MUNGU aliniepusha na UKIMWI
Ukimwi upo aisee, nakumbuka mke wangu niliyenaye. Kipnd tupo kweny mahusiano nilikuwa bingwa wa kucheat. Wakt yy ni mwaminifu siku moja niliopoa demu mlokole, nkamtongoza akazama, nkachukua vipimo vya VVU na condomu. Kufka getho nkasema nigonge bila kondomu bao mbili half nimpime ili niendelee nyama nyama. Nkaanza game ila kondomu kila nilivyobadilisha ilikuwa INA damu. Nkamaliza nkasema nimpime, ile kuweka damu tu ngoma ikasoma POSITIVE. tangu siku ile nkaokoka, now SITAKI usaliti. MUNGU aliniepusha na UKIMWI
Hahahaaa!! Tena kiwe cha pilau, ni kitamu acha kabisa.
Hakifikii cha wali maharage + chai ya maziwa tehHahahaaa!! Tena kiwe cha pilau, ni kitamu acha kabisa.
Hiki chakula kinapendwa sana ila mimi sikipendi, chakula kinachohusu mchele nipendacho ni pilau tu.Hakifikii cha wali maharage + chai ya maziwa teh