Jimbi JF-Expert Member Joined Aug 16, 2010 Posts 4,444 Reaction score 4,967 Nov 28, 2024 #41 malantu said: Wewe ndio mpuuzi, acha kuwafanya wapinzani kichaka cha woga wako. Kama unaona wana mapungufu si uandamane wewe, kwani unazuiwa na nini? Click to expand... Huo ndio ukweli, ni mpuuzi tu ndio anaeweza kuandamana kwa maslahi ya viongozi wa upinzani wenye ndoto ya serikali ya NUSU MKATE.
malantu said: Wewe ndio mpuuzi, acha kuwafanya wapinzani kichaka cha woga wako. Kama unaona wana mapungufu si uandamane wewe, kwani unazuiwa na nini? Click to expand... Huo ndio ukweli, ni mpuuzi tu ndio anaeweza kuandamana kwa maslahi ya viongozi wa upinzani wenye ndoto ya serikali ya NUSU MKATE.
V Vikintu JF-Expert Member Joined May 26, 2021 Posts 2,051 Reaction score 3,162 Nov 28, 2024 #42 Jimbi said: Huo ndio ukweli, ni mpuuzi tu ndio anaeweza kuandamana kwa maslahi ya viongozi wa upinzani wenye ndoto ya serikali ya NUSU MKATE. Click to expand... Sasa inakuuma nini, waache walivyo, wewe kaa ufaidi mema ya nchi basi. Na wala hawakuhitaji wewe zaidi ya kujipendekeza tu, na kujipa uspecial ambao huna.
Jimbi said: Huo ndio ukweli, ni mpuuzi tu ndio anaeweza kuandamana kwa maslahi ya viongozi wa upinzani wenye ndoto ya serikali ya NUSU MKATE. Click to expand... Sasa inakuuma nini, waache walivyo, wewe kaa ufaidi mema ya nchi basi. Na wala hawakuhitaji wewe zaidi ya kujipendekeza tu, na kujipa uspecial ambao huna.
Mayu JF-Expert Member Joined May 11, 2010 Posts 7,621 Reaction score 12,505 Nov 29, 2024 #43 Siku ya kufa nyani miti yote huteleza Siku yaja ambayo hata serikali itumie mbinu gani lakini nguvu ya umma itashinda Tena mahali ambapo unatumika mkono wa chuma kubana watu siku wakija kuamua utabaki unashangaa Ni swala la muda tu
Siku ya kufa nyani miti yote huteleza Siku yaja ambayo hata serikali itumie mbinu gani lakini nguvu ya umma itashinda Tena mahali ambapo unatumika mkono wa chuma kubana watu siku wakija kuamua utabaki unashangaa Ni swala la muda tu