Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Umejuaje hili mkuu ?Ndoa ni muhimu lakini siyo lazima maana si kila lenye umuhimu lina ulazima
Halafu wabongo tungekuwa tunalazimishana kuingia kwenye fursa kama tunavyolazimishana kuingia kwenye ndoa basi tungekuwa mbali sana
Ila bahati mbaya mbongo hata siku moja hawezi kukulazimisha ufanye jambo ambalo litakunufaisha kama/kuliko yeye
Ukiona mbongo anakulazimisha sana kufanya jambo ujue hilo jambo halina faida sana na anataka tu upate matatizo kama aliyoyapata yeye alipolifanya
😳🙄Inaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
...Mmekazana! Miaka Sita watoto Watatu! PongeziniWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu
Mke wangu ana kiburi cha asili,gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu
Hakuna kitu anachokosa huyu mwanamke kila kitu namtimizia
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu
AiseeInaonyesha humtombi vizuri mwanamke anayegegedwa vizuri huwa hana hasira na gubu aisee jirekebishe kitandani bwana.
N. B wanaume huku mna nini kutwa kulia lia na sisi wanawake tukianzisha mada za kutoa moyoni siitabidi JF ianzishe jukwaa la stress,na majonzi
Ulimchunguza kabla ya kumuoa ? au ndio katika ile mambo ya kuwahi haraka haraka ili asichukuliwe na wengine,kuja kutahamaki tayari watoto wameshafika watatu...Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
Na magai yenu, mishipige honi waya mishele....hapo titaelewanaNkundi Mzutu Wa Baiskeli Anapogonga Nyundo Wahindi
Wasema Ni Kelele, Mtafutieni Nyundo Ya Silencer Aondoe Hizo Kelele
Mwanamke sio wakuweka matazamio wana uwezo wakufucha tabia zao kwa mda mrufu hata miaka 10, anakuja kukutesa badaye hata nguvu za kuenda mahakamani huna, wanawake hawabadilikagi ila wa nafichaga tabia dawa ya mwana mke ziko tatu tu, kumvumilia kumuacha au kumtelekeza na kuoa mgine tu.Kuna jamaa yangu, mke wake alimsumbua sana, nilimpa ushauri ambao leo ananishukuru sana, nilimwambia aende mahakani afanye process zote za talaka huku anamuangalia mwenendo wake, alifumgua shauri la kumpa talaka mke wake, mke wake hakuamini siku analetewa wito wa kufika kwenye shauri, alilia sana.
Alipungua uzito mpaka huruma ilinijia ila nilimwambia dogo komaa hawa watu sio wakiwaonea huruma kirahisi hivyo, shauri liliendelea mpaka talaka ikatoka siku hiyo ilikuwa ngumu sana kwa mwanmke alizimia, hakuamini walikuja ndugu kibao wa mwanamke kumuombea msamaha.
Basi tuliongea na hakimu tukamweleza tunaomba mahama ihold hukumu wakati tunafuatilia mwenendo wa mke wake, mahakama ilikubali, mpaka leo mwamke amebadilika sana sana.
Sikushauri sana hili ila wewe angalia la kufanya
Ndio nimeolewaNdio maana nikataka kujua Marital status yako kabla kabla hujatoa ushauri wa masuala ya ndoa!
Je umeolewa?
Kama hilo ndio tatizo linalokukwamisha, sasa wote tukiunga juhudi zako mkono, minofu mtaipata wapi?Laiti kila mtu angejua afanyayo mkewe akiwa mbali na upeo wa macho yake KILA MTU ANGENIELEWA.
#YNWA
[emoji23][emoji23][emoji23]
Na hawaelewi nini wanaume wao wanataka ,wapo wapo kuwakera wenzao kama misukule .
Hii inatakiwa iende both ways, kwa wanawake nao wapate nafasi ya kuwa na zaidi ya mwanamme 1. OPEN MARRIAGE....nitamuacha tu nioe mke mwengine kama mke wa pili mpuuzi huyu......mkuu jitathimini upyaaa wewe ndo chanzo cha tatizo na sio mkeo
View attachment 1963228
Wanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
HongeraNdio nimeolewa
Pole mkuuWanasema kosea vyote lakini sio kuoa au kuolewa.
Nipo kwenye ndoa nae mwaka wa sita huu lakini sasa ni mtihani mtupu. Mke wangu ana kiburi cha asili, gubu na wivu wa kijinga sana na kwenye ndoa tuna watoto watatu.
Hakuna anachokosa natimiza wajibu wangu kama mume, sijikwezi lakini ukweli mke wangu ni miongoni mwa wanawake walio kwenye ndoa wanaopata kila hitaji bila kusita au kucheleweshewa.
Lakini hataki kubadilika ana mambo ya kipumbavu kabisa hapa naandika nikiwa na hasira sana nitamuacha tu nioe mke mwingine kama mke wa pili.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hongera
Kwani we kabla hujaoa ulikua HULI MINOFU?Kama hilo ndio tatizo linalokukwamisha, sasa wote tukiunga juhudi zako mkono, minofu mtaipata wapi?