Kosi la Simba la 2024-25 ni kosi la UltraSound, kizazi kisicho na adabu

Kosi la Simba la 2024-25 ni kosi la UltraSound, kizazi kisicho na adabu

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Simba ya miaka hii miwili ya nyuma ilisuffer kutokana na kukosa wachezaji wanaoweza mpira wa kasi. Tulikuwa na kina Chama wanaopoozesha mashambulizi, tulikuwa na kina Saido wanaopoteza mipira hovyo. Kiufupi timu ilikosa sense of speed and style.

Ultrasound ni teknolojia inayotumia katika masuala ya tiba na moja ya kazi yake ni kupima umri wa ujauzito.

Kikosi cha Simba kimefumuliwa na moja ya vipaumbele ni kuleta vijana ambao damu ndiyo kwanza inachemka na ndiyo wanaelekea kwenye prime yao. Wengi wao mkataba wao na Simba ndiyo mkataba mkubwa waliowahi kuingia. Hawa vijana tunawapa kazi moja tu, kuwakimbiza watu hadi wateme bungo. Hiki ni kizazi cha Ultrasound. Hiki kizazi hakijui kuamkia wazee wala kuwajali walemavu. Ni kizazi katili. Mkipaki basi, wanarusha makombora ya masafa marefu yanayoteketeza kizazi chako chote, mamaeee.
 
Nikuambie tu kuwa yanga sio APR

Wale APR wanakokota mpira wakifika golini hawajui kufunga,

Pia hii simba inamakosa mengi kuliko simba iliyopita, hukuona beki akimdundishia mpira kipa mpira ule ukatska kuingia gokini?

Hujaona beki zilivyo za hovyo?

Mecji ile eneo lililo imarika ni kati kati yule jamaa anaitwa nani sijui jezi namba saba anauwezo wa kupenya na mpira kati kati kuelekea golini ila washambuliaji ndio zero

Yule mukwara kule pembeni ni hana maajabu ni vile tu kakutana na beki za hovyo, ngoja ligi ianze utaona

Hapo simba wachezaji wazuri ni namba 7 na balua tu yule debora bado sijahitimisha maana anaonekana ni mpendq sifa
 
Nikuambie tu kuwa ysnga sio APR

Wale APR wanakokota mpira wakafika golini hawajui kufunga,

Pia hii simba inamakosa mengi kuliko simba iliyopita, hukuona beki akimdundishia mpira kipa mpira ule ukatska kuingia gokini?

Hujaona beki zilivyo za hovyo?

Mecji ile eneo lililo imarika ni kati kati yule jamaa anaitwa nani sijuu jezi namba saba anauwezo wa kupenya ns mpira kati kati kuelekea golini ila washambuliaji ndio zero

Yule mukwara kule pembeni ni hana maajabu ni vile tu kakutana na beki za hovyo, ngoja ligi ianze utaona

Hapo sumba wachezaji wazuri ni namba 7 na balua tu yule debora bado sijahitimisha maana anaonekana ni mpendq sifa
Kunywa maji ushushie donge...😀😀😀
 
Simba ya miaka hii miwili ya nyuma ilisuffer kutokana na kukosa wachezaji wanaoweza mpira wa kasi. Tulikuwa na kina Chama wanaopoozesha mashambulizi, tulikuwa na kina Saido wanaopoteza mipira hovyo. Kiufupi timu ilikosa sense of speed and style.

Ultrasound ni teknolojia inayotumia katika masuala ya tiba na moja ya kazi yake ni kupima umri wa ujauzito.

Kikosi cha Simba kimefumuliwa na moja ya vipaumbele ni kuleta vijana ambao damu ndiyo kwanza inachemka na ndiyo wanaelekea kwenye prime yao. Wengi wao mkataba wao na Simba ndiyo mkataba mkubwa waliowahi kuingia. Hawa vijana tunawapa kazi moja tu, kuwakimbiza watu hadi wateme bungo. Hiki ni kizazi cha Ultrasound. Hiki kizazi hakijui kuamkia wazee wala kuwajali walemavu. Ni kizazi katili. Mkipaki basi, wanarusha makombora ya masafa marefu yanayoteketeza kizazi chako chote, mamaeee.
mtapigwa kama ngoma.
 
Simba ya miaka hii miwili ya nyuma ilisuffer kutokana na kukosa wachezaji wanaoweza mpira wa kasi. Tulikuwa na kina Chama wanaopoozesha mashambulizi, tulikuwa na kina Saido wanaopoteza mipira hovyo. Kiufupi timu ilikosa sense of speed and style.

Ultrasound ni teknolojia inayotumia katika masuala ya tiba na moja ya kazi yake ni kupima umri wa ujauzito.

Kikosi cha Simba kimefumuliwa na moja ya vipaumbele ni kuleta vijana ambao damu ndiyo kwanza inachemka na ndiyo wanaelekea kwenye prime yao. Wengi wao mkataba wao na Simba ndiyo mkataba mkubwa waliowahi kuingia. Hawa vijana tunawapa kazi moja tu, kuwakimbiza watu hadi wateme bungo. Hiki ni kizazi cha Ultrasound. Hiki kizazi hakijui kuamkia wazee wala kuwajali walemavu. Ni kizazi katili. Mkipaki basi, wanarusha makombora ya masafa marefu yanayoteketeza kizazi chako chote, mamaeee.

Baada ya mechi ya August 8, Simba muwe wamoja kama mlivyo sasa hivi
 
Kunywa maji ushushie donge...😀😀😀
Kama uliangalia mechi ya kaizer na yanga utanielewa.

Kilicho iponza kaizer ni makosa ya beki goli zote nne ni makosa ya beki hukuona mpaka walitaka kupigana?

Hata augusburg waliifunga yanga kiufundi yaani zile pasi za sekunde nn mpira ushagusa watu watano mpaka unaingia gokini.

Hii simba huo uwezo haina
 
Kama ukiangslia mechi ya kaizer na yanga utanielewa.

Kilicho esponza kaizer ni makosa ya beki goki zote nne ni makosa ya beki hukuona mpaka walitaka kupigana?

Hata augusburg waliifunga yanga kiufundi yaani zile pasi za sekunde nn mpira ushagusa watu watano mpaka unaingia gokini.

Hii simba huo uwezo haina
Haya kaka..tusibishane sana nitakua nakutag...cha msingi usikariri maisha..hyo simba unayoisema hapa umeiona tuu juzi kwny APR ila ushasema maneno mengiii kuiponda...ni chuki huna kingine...yani huna kingine zaidi ya chuki...
 
Haya kaka..tusibishane sana nitakua nakutag...cha msingi usikariri maisha..hyo simba unayoisema hapa umeiona tuu juzi kwny APR ila ushasema maneno mengiii kuiponda...ni chuki huna kingine...yani huna kingine zaidi ya chuki...
Mbona nimetoa kongole kwa balua na yule jezi namba 7 au hujaona?
 
Nadhani yanga sc wanatumia ultraviolet lights ambayo huhitaji kugusanisha kitu,(object) inatumia electromagnetic waves, ultrasound mpaka umguse mtu ndiyo utafsiri tuache kutumia maneno ambayo hatujui maana yake utashindwa kujieleza labda huko mtaani mliko ambako umewakamata na neno ultrasound
 
Nikuambie tu kuwa yanga sio APR

Wale APR wanakokota mpira wakifika golini hawajui kufunga,

Pia hii simba inamakosa mengi kuliko simba iliyopita, hukuona beki akimdundishia mpira kipa mpira ule ukatska kuingia gokini?

Hujaona beki zilivyo za hovyo?

Mecji ile eneo lililo imarika ni kati kati yule jamaa anaitwa nani sijui jezi namba saba anauwezo wa kupenya na mpira kati kati kuelekea golini ila washambuliaji ndio zero

Yule mukwara kule pembeni ni hana maajabu ni vile tu kakutana na beki za hovyo, ngoja ligi ianze utaona

Hapo simba wachezaji wazuri ni namba 7 na balua tu yule debora bado sijahitimisha maana anaonekana ni mpendq sifa
Ndiyo maana umechapiachapia unaongea kiutopoloutopolo
 
Nadhani yanga sc wanatumia ultraviolet lights ambayo huhitaji kugusanisha kitu,(object) inatumia electromagnetic waves, ultrasound mpaka umguse mtu ndiyo utafsiri tuache kutumia maneno ambayo hatujui maana yake utashindwa kujieleza labda huko mtaani mliko ambako umewakamata na neno ultrasound
Hujaelewa utopolo.
 
Nikuambie tu kuwa yanga sio APR

Wale APR wanakokota mpira wakifika golini hawajui kufunga,

Pia hii simba inamakosa mengi kuliko simba iliyopita, hukuona beki akimdundishia mpira kipa mpira ule ukatska kuingia gokini?

Hujaona beki zilivyo za hovyo?

Mecji ile eneo lililo imarika ni kati kati yule jamaa anaitwa nani sijui jezi namba saba anauwezo wa kupenya na mpira kati kati kuelekea golini ila washambuliaji ndio zero

Yule mukwara kule pembeni ni hana maajabu ni vile tu kakutana na beki za hovyo, ngoja ligi ianze utaona

Hapo simba wachezaji wazuri ni namba 7 na balua tu yule debora bado sijahitimisha maana anaonekana ni mpendq sifa
Kunywa maji kwanza, ili moyo uelee, kwani unateseka ukiwa wapiii??
Poleeeee
 
Back
Top Bottom