[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teseka taratibuu bwasheeee!! PoleeeeKama uliangalia mechi ya kaizer na yanga utanielewa.
Kilicho iponza kaizer ni makosa ya beki goli zote nne ni makosa ya beki hukuona mpaka walitaka kupigana?
Hata augusburg waliifunga yanga kiufundi yaani zile pasi za sekunde nn mpira ushagusa watu watano mpaka unaingia gokini.
Hii simba huo uwezo haina
Nakuelimisha, if you do not know where you're going any road will take you there, yaani usipojua unako kwenda barabara yoyote itakupeleka huko usikokujuaHujaelewa utopolo.
Nitakukumbusha kesho[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teseka taratibuu bwasheeee!! Poleeee
UsijariiiiiNitakukumbusha kesho
Na uzuri kina Debora hawatahitaji kuifikia hiyo beki yao mbovu.
Wanawadungua kutokea mbali.
Kwani wewe unadhani wale Arrows wangecheza kipindi cha pili kama walivyocheza cha kwanza mngekula ngapi?Nikuambie tu kuwa yanga sio APR
Wale APR wanakokota mpira wakifika golini hawajui kufunga,
Utabiri unaoweza kabisa kutimia huuNyuma mwiko hawatarudi uwanjani baada ya half time,,
Eeeh?Nadhani yanga sc wanatumia ultraviolet lights ambayo huhitaji kugusanisha kitu,(object) inatumia electromagnetic waves, ultrasound mpaka umguse mtu ndiyo utafsiri tuache kutumia maneno ambayo hatujui maana yake utashindwa kujieleza labda huko mtaani mliko ambako umewakamata na neno ultrasound
Kapombe abaki ila akubali kuanzia benchi. Uzuri wake ni kiraka, nafasi nyingi anazimudu anaweza kusaidia hapa na pale kama ilivyokuwa kwa Nyoni ila kama hayuko tayari kwa hilo, naunga mkono wazo la kuachana naye. Pia Mwenda asingeachwa.Kweli Simba ina vijana wengi ila KAPOMBE amezeeka sana, ata-icost sana simba!! Angestaafu kwa heshima, asisubiri kurushiwa virago!!
Kesho utakuja hapa ........ "oh kibu kauza mechi, ...... mara oh Mangungu hatumtaki.Simba ya miaka hii miwili ya nyuma ilisuffer kutokana na kukosa wachezaji wanaoweza mpira wa kasi. Tulikuwa na kina Chama wanaopoozesha mashambulizi, tulikuwa na kina Saido wanaopoteza mipira hovyo. Kiufupi timu ilikosa sense of speed and style.
Ultrasound ni teknolojia inayotumia katika masuala ya tiba na moja ya kazi yake ni kupima umri wa ujauzito.
Kikosi cha Simba kimefumuliwa na moja ya vipaumbele ni kuleta vijana ambao damu ndiyo kwanza inachemka na ndiyo wanaelekea kwenye prime yao. Wengi wao mkataba wao na Simba ndiyo mkataba mkubwa waliowahi kuingia. Hawa vijana tunawapa kazi moja tu, kuwakimbiza watu hadi wateme bungo. Hiki ni kizazi cha Ultrasound. Hiki kizazi hakijui kuamkia wazee wala kuwajali walemavu. Ni kizazi katili. Mkipaki basi, wanarusha makombora ya masafa marefu yanayoteketeza kizazi chako chote, mamaeee.
Hizo porojo tu Kama porojo nyingine.Nakuelimisha, if you do not know where you're going any road will take you there, yaani usipojua unako kwenda barabara yoyote itakupeleka huko usikokujua
Tunaishi kwenye jamii yenye porojo na inayojizima dataHizo porojo tu Kama porojo nyingine.
Wewe punga tulikwambia ukakaza matakoSimba ya miaka hii miwili ya nyuma ilisuffer kutokana na kukosa wachezaji wanaoweza mpira wa kasi. Tulikuwa na kina Chama wanaopoozesha mashambulizi, tulikuwa na kina Saido wanaopoteza mipira hovyo. Kiufupi timu ilikosa sense of speed and style.
Ultrasound ni teknolojia inayotumia katika masuala ya tiba na moja ya kazi yake ni kupima umri wa ujauzito.
Kikosi cha Simba kimefumuliwa na moja ya vipaumbele ni kuleta vijana ambao damu ndiyo kwanza inachemka na ndiyo wanaelekea kwenye prime yao. Wengi wao mkataba wao na Simba ndiyo mkataba mkubwa waliowahi kuingia. Hawa vijana tunawapa kazi moja tu, kuwakimbiza watu hadi wateme bungo. Hiki ni kizazi cha Ultrasound. Hiki kizazi hakijui kuamkia wazee wala kuwajali walemavu. Ni kizazi katili. Mkipaki basi, wanarusha makombora ya masafa marefu yanayoteketeza kizazi chako chote, mamaeee.