KOSOTA Mwanza mnahujumiwa.

Kibwagizo

Senior Member
Joined
Mar 21, 2012
Posts
130
Reaction score
8
Ni toka jana ndani ya jiji la Mwanza kuna watu wakishirikiana na Polisi wanazunguka wakidai wanashika wahujumu kazi za wasanii.
Mambo yanayowafanya watu waamini kuwa ni matapeli:
#Wakiojiwa maswali wanakimbia.
#Wanatanguliza kidogo hadi 50000 na ukishawapa wanakuacha ukiendelea kupiga kazi.
-Kwa hili wasanii na Kosota funguka
 
Ilimtokea jamaa yangu jana akawapa 80,000.00.Sasa wizi si uleule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…