KOTI LA AJABU

KOTI LA AJABU

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Daktari alimshauri Hamza kutokuugusa mwili huo sababu hilo ni tukio la Mauaji.

Tayari wapelelezi walikua hapo wakiongozwa na Agent Daudi Mbaga aliyekua kiongozi wa wapelelezi hao, pia gari ya wagonjwa ilikua tayari imefika hapo ikiwa na Madaktari ambao nao walipewa taarifa kuwa Mtu waliyemfuata hapo alikua tayari ameshakufa.

Familia ya kitajiri ilizizima kwa Majonzi Usiku huo, wapelelezi waliwataka Wanafamilia kukusanywa sehemu moja, wakagawana kazi za kufanya hapo, Agent Daudi akabakia ndani ya chumba hicho ili kutafuta shahidi za kimazingira wakati timu iliyobakia ikiwa inawahoji wanafamilia.

Dakika moja ya kutazama eneo hilo la tukio, Daudi aligundua kua kwenye meza ambayo Mzee Yusuf alikua ameilalia palikua na glasi mbili zenye vinywaji, peni moja pia chupa moja ya Waini ikiwa imevunjika kwa chini, vyote vikampa picha ya haraka kua aliyemuuwa Mzee huyo alianza kuzungumza naye Kwanza kisha pakatokea vurugu ndiyo maana chupa ya waini ilianguka kutokea juu ya Meza.

Mkononi Mzee huyo alikua ameshikilia Bastola nyeusi ndogo, hapa Daudi akashindwa kufasili kwa haraka haraka ni kwanini alikua na Bastola ambayo haikuonekana kutumika. Pia ilionekana kwenye kabati la kuhifadhia makabrasha palikua pamepekuliwa sana, hii ikamfanya Daudi ahitimishe uchunguzi wa awali kua muuwaji alihitaji kitu fulani kutoka kwa Mzee huyo, lakini swali aliloondoka nalo ndani ya Chumba hicho lilikua
 
Daktari alimshauri Hamza kutokuugusa mwili huo sababu hilo ni tukio la Mauaji.

Tayari wapelelezi walikua hapo wakiongozwa na Agent Daudi Mbaga aliyekua kiongozi wa wapelelezi hao, pia gari ya wagonjwa ilikua tayari imefika hapo ikiwa na Madaktari ambao nao walipewa taarifa kuwa Mtu waliyemfuata hapo alikua tayari ameshakufa.

Familia ya kitajiri ilizizima kwa Majonzi Usiku huo, wapelelezi waliwataka Wanafamilia kukusanywa sehemu moja, wakagawana kazi za kufanya hapo, Agent Daudi akabakia ndani ya chumba hicho ili kutafuta shahidi za kimazingira wakati timu iliyobakia ikiwa inawahoji wanafamilia.

Dakika moja ya kutazama eneo hilo la tukio, Daudi aligundua kua kwenye meza ambayo Mzee Yusuf alikua ameilalia palikua na glasi mbili zenye vinywaji, peni moja pia chupa moja ya Waini ikiwa imevunjika kwa chini, vyote vikampa picha ya haraka kua aliyemuuwa Mzee huyo alianza kuzungumza naye Kwanza kisha pakatokea vurugu ndiyo maana chupa ya waini ilianguka kutokea juu ya Meza.

Mkononi Mzee huyo alikua ameshikilia Bastola nyeusi ndogo, hapa Daudi akashindwa kufasili kwa haraka haraka ni kwanini alikua na Bastola ambayo haikuonekana kutumika. Pia ilionekana kwenye kabati la kuhifadhia makabrasha palikua pamepekuliwa sana, hii ikamfanya Daudi ahitimishe uchunguzi wa awali kua muuwaji alihitaji kitu fulani kutoka kwa Mzee huyo, lakini swali aliloondoka nalo ndani ya Chumba hicho lilikua
 
Back
Top Bottom