i_am_yacr_nazz04
Member
- Jun 6, 2022
- 7
- 2
😂😂 Nimecheka sanaLogistics and shipping ni nzuri mchawi ni aende chuo cha bandari chenyewe na auwe kwenye GPA akipata gape milion 4 per month haimkosi
Logistics and shipping ni nzuri mchawi ni aende chuo cha bandari chenyewe na auwe kwenye GPA akipata gape milion 4 per month haimk
Najuwa mpk sasa application zimefungwa kama akichaguliwa mwambie anitafute chuoni kwa jina la husna chikwela mie ni mmoja wapo nnaesomea moja kati ya kozi hizo
Aende ajira 51%Kapata chuo cha bandari
Hata mm nimecheka pia maana bro wangu aliniambiaga hivyo[emoji23][emoji23] Nimecheka sana
Upo dmi au bandari college?Najuwa mpk sasa application zimefungwa kama akichaguliwa mwambie anitafute chuoni kwa jina la husna chikwela mie ni mmoja wapo nnaesomea moja kati ya kozi hizo
Shipping wengi huwa wanaajiriwa TASAC na Mara chache saana TPA
Nafasi za ajira zipo ila akiweka tamaa mbele pccb watamnyoosha
Nina miaka chini ya 5 kazini ile nimeshuhudia zaidi ya wafanyakazi 19 wakiachishwa kazi [emoji22] kisa vijisenti kiduchu tu
Upo dmi au bandari college?
Ua GPA alafu kuwa mnoko hapo chuoUpo dmi … nakuchukuwa degree ya logistics and shipping management