Tetesi: Kozi gani nichukue veta mwaka wa masomo 2019 kati ya kozi hizi

Electrical installation. Umeme wa magari hauna dili siku hizi. Magari ya sasa yanapigwa diagnosis na computer.

Pamoja na hiyo computer diagnosis bado mtu mwenye huo utaalam atahitajika na kuna kila dalili magari yanayotumia umeme yataanza kuingia na isitoshe sisi wabongo tunapenda sana mteremko,utakuta magari mengi yamejaa kwenye gereji bubu vichochoroni na huko hakuna huduma ya computer.
 
Electrical installation. Umeme wa magari hauna dili siku hizi. Magari ya sasa yanapigwa diagnosis na computer.
Ubarikiwe mkuu na wote mlionipata na mnaoendelea kutoka michango yenu...kwa moyo wa kipekee ahsanteni sana
 
Asante kiongozi kwa ushauri makini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…