Mtu Mbadi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2024
- 403
- 457
Unasoma kozi yeyote isipokuwa za Afya tuu.Nasikia hadi course za biashara kama accounting [emoji3477] au ni siasa TU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasoma kozi yeyote isipokuwa za Afya tuu.Nasikia hadi course za biashara kama accounting [emoji3477] au ni siasa TU
Sawa mkuu nashukuru Sana kwa good idea toka kwako Great thinker na ndo lengo la kijana wanguKm nia yake ni kusoma kozi za afya hapo baadae, bas ni vyema apambanie hiyo CO, kikubwa akakaze hapo Dip.
Ili degree akapige MD
TISS ndo mdudu gani? Acha atupe madini Kuna mambo mengine usihitaji kuyajua utapata shida tuWewe ni TISS? Kwenye mada za umbea huwa upo sana na kwenye mada za kisomi pia upo tena unatoa comments zilizonyooka za kisomi. Wewe ni TISS
Mtaarifu kuwa hata hiyo CO aachane nayo.Juzi my 1st born kachomoa kasema anataka CO kwamba CBG aliyopangiwa ni use less
Huko sasa nd'o kwa kwenda kutafutia ugali, waachane na SUA.Nasikia hadi course za biashara kama accounting [emoji3477] au ni siasa TU
Ahsante kwa ushaurKm nia yake ni kusoma kozi za afya hapo baadae, bas ni vyema apambanie hiyo CO, kikubwa akakaze hapo Dip.
Ili degree akapige MD
Usihofu mkuu najua nachotaka kumfanyia si lazima aajiriwe Note hapoMtaarifu kuwa hata hiyo CO aachane nayo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapanaa!! Mie ni raia wa kawaida tyuu.Wewe ni TISS? Kwenye mada za umbea huwa upo sana na kwenye mada za kisomi pia upo tena unatoa comments zilizonyooka za kisomi. Wewe ni TISS
Pambana sana Dogo, kikubwa ukitoka chuo usibweteke tafuta fursa na nafasi ufanyie vitendo hiyo taaluma yako.Jamani mnanipa sana moyo mdogo wenu mpaka naogopa [emoji16][emoji16][emoji16], nipo mwaka wa kwanza hiyo kozi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiTISS ndo mdudu gani? Acha atupe madini Kuna mambo mengine usihitaji kuyajua utapata shida tu
🙏🙏🙏Pambana sana Dogo, kikubwa ukitoka chuo usibweteke tafuta fursa na nafasi ufanyie vitendo hiyo taaluma yako.
Maisha ni kupambana.
[emoji482][emoji482][emoji482][emoji120][emoji120][emoji120]
Ahsantee[emoji482][emoji482][emoji482]
Upo chuo gani ?Jamani mnanipa sana moyo mdogo wenu mpaka naogopa 😁😁😁, nipo mwaka wa kwanza hiyo kozi
RUCUUpo chuo gani ?
Kama ulisoma phy na chem olevo nenda kasome architecture au building economics pale ardhi.Ni course gani unaweza kusoma endapo ukichukua CBG advance tofauti na afya pamoja na education?