Kozi gani unaweza kuchukua endapo utasoma tahasusi ya CBG?

Kozi gani unaweza kuchukua endapo utasoma tahasusi ya CBG?

Jamani mnanipa sana moyo mdogo wenu mpaka naogopa [emoji16][emoji16][emoji16], nipo mwaka wa kwanza hiyo kozi
Pambana sana Dogo, kikubwa ukitoka chuo usibweteke tafuta fursa na nafasi ufanyie vitendo hiyo taaluma yako.

Maisha ni kupambana.
 
Back
Top Bottom