Kozi gani ya Geology yenye ajira nzuri?

Kozi gani ya Geology yenye ajira nzuri?

Joined
Dec 2, 2012
Posts
10
Reaction score
4
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu, nataka kuaply coz za geology ila sijajua ni ipi yenye ajira nzuri, alafu UDSM nimeona kuna B sc in geology na B sc with geology nashindwa kuzitofautish, naombeni msaada wenu
 
Zote ni zina ajira sawa kabisa.Utofauti upo qualification za kuchagua hizo kozi, in geology inafit kwa wale waliosoma pcm na pgm maana wanakuja kufanya option ya physics pia chuo.Kwa with geology inafit kwa uliyeaoma egm na cbg utakutana na kuopt kati ya geography,mathematics au chemistry

amekutana na geologist
 
Zote ni zina ajira sawa kabisa.Utofauti upo qualification za kuchagua hizo kozi, in geology inafit kwa wale waliosoma pcm na pgm maana wanakuja kufanya option ya physics pia chuo.Kwa with geology inafit kwa uliyeaoma egm na cbg utakutana na kuopt kati ya geography,mathematics au chemistry

Hasante nimekuelewa
 
Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu, nataka kuaply coz za geology ila sijajua ni ipi yenye ajira nzuri, alafu UDSM nimeona kuna B sc in geology na B sc with geology nashindwa kuzitofautish, naombeni msaada wenu

soma enginereeng dogo Johansen kid
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom