umerudia zama zako....................ni kweli mana walikua hata wakija club pale 4 stars unakuta wamebeba panya,wengine wanaingia club na mimeaz ndo hivo sasa tutafanyeje
Mchakamchaka wake nausikia tu....
umerudia zama zako....................ni kweli mana walikua hata wakija club pale 4 stars unakuta wamebeba panya,wengine wanaingia club na mimeaz ndo hivo sasa tutafanyeje
Acha dharau ndg,
kwani sio kila course SUA inahusu kilimo
kuna
Bsc Enviromental Science,
Bsc Informatics,
Bsc Education,
Bsc Tourism,
Bsc Rural Dev't,
jiheshmu kijana sio wote wakulima!
ukiweza soma BVM ila kama we ni sharobaro soma Food Sc, RURAL DVPMNT, HOMEC, EXT.
kwan graduates wa sua c wabushi??mjini wanaforce tu.
Mbona sasa unatumia masaburi kufikiri. Hata ungekuwa umehitimu shahada kutoka Paradiso au Edeni, bado itategemea juhudi zako binafsi ktk kuchanganua mambo ktk soko huria. Labda kwa wewe ambaye shangaz yako, nyama yako ya hamu, mama dogo dogo wamekaa mahali wanasubiri kukushika mkono.
umerudia zama zako....................ni kweli mana walikua hata wakija club pale 4 stars unakuta wamebeba panya,wengine wanaingia club na mimeaz ndo hivo sasa tutafanyeje
nyie kakaeni na wakulima huko bush bana.huku mjini tuachien wana udsm,mzumbe na ifm.
Nakusikitikia sana,eti nawe ni Great thinker! unaisikia tu SUA kupitia story za vijiweni hata hicho unacho argue kiko baseless,ila sikulaumu nahisi ndo mnafundishwa hivyo, pole mkuu at the end of the day Performance yako katika kazi ita-matter na sio u-UDSM,u-IFM wako,ulifika hapo UD kwa ki-memo nini?
Usijali naamini sasa hivi utakuwa tayari umeripoti chuoni maana mwaka wa kwanza mlitakiwa kuripoti tarehe 24 mwezi huu, siku ya kujisajili utapewa kitu kinaitwa course content hapo utapata kujua ni nini utarajia kupata pindi umalizapo kozi hiyo na hapo ndio unaweza jua ni pana kiasi gani. na kwa kuongezea tu siku hizi pale SUA kuna kozi ya Intaprenyuashipu( Enterprenuership) ambayo ni lazima kwa kila mwaka wa kwanza na wa pili so utajifunza ujasiliamali na mbinu zake, so huwezi toka kapa kwa kozi yoyote ile usomayo pale SUA. Kuhusu mchakamchaka wa SUA ninachoweza kukushauri ni kuwa "Utamu wa ngoma ni uingie kucheza" kama wengine wameweza wewe utashindwa nini, ythe fact that umechagulia kujiunga pale SUA it means wewe ni University material so utaweza tu, muhimu ni kukaza buti maana bado una safari ndefu!
we nenda kahudumie wakulima huko bush bana,wanakuhtaji sana,huku mjini hatukuhtaji.
unasoma nini kwanza?fine and performing arts?u r a fool we ukikaa mjini nami nikikaa kijijini wote si tunatafuta pesa ama kweli UD ina-vilaza na wewe ni mfano tosha,ungekua SUA ungedisco semester ya kwanza, toa ujinga wako humu
sasa naona unatutukana wanaUD! Mbona hujui kufanya research?
Kozi ni nzuri sana, sema ukija SUA ujiandae kutotua jamvini hadi utakapokizoea chuo,Naomba kujuzwa kama hii degree programme Bsc. Animal Science and production ya SUA inalipa?
Nataka kupata taarifa kama baada ya kumaliza kozi hii soko lake mtaani likoje?? katika kujiajiri au kaujiriwa??
Na kwa wale waliosoma kozi hii ni ngumu namna gani??
Asanteni.
Mfunze huyo dogo anayejiita Senetor kuwa shule ni one part utafanya nini there after is another part,ana upeo finyu wa mawazo,mi niko kazini mwaka wa 3 huu mwambia aache kebehi hajui ki2 zaidi ya Boom,Sup,Semester na kukariri,kilaza mkubwa na ajiangalie asitoke na gentleman's GPA (2.*)
kilaza ni wewe uliyefel hadi ukaamua kwenda kusomea hyo mizizi,wenye akili zetu timamu tunasoma vitu vya maana huku chuo kikuu.
kilaza ni wewe uliyefel hadi ukaamua kwenda kusomea hyo mizizi,wenye akili zetu timamu tunasoma vitu vya maana huku chuo kikuu.