Kozi ngumu kuliko zote hapa Tz

mngony

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
5,555
Reaction score
6,972
Wakuu nahitaji maoni ipi ni kozi ngumu kuliko zote? Je ni udaktari(medicine)? Sheria(law)? Uinjinia(engineering)Au ipi?
 
Hakuna kozi ngumu wala rahisi hapa duniani
tofauti inakuja kwenye uwezo wa individuals,
mwingine ataona udaktari ndo mgumu,
ila mwingine ataona udaktari ndo rahisi
ni akili yako tuu kiongozi
 
Uwezo wako darasani ndio utambua ipo kozi ngumu zaidi,ila kutokana na mambo mengi yanaweza kuchangia ungumu wa kozi.
 
Hakuna kozi ngumu wala nyepesi,kupanga ni kuchagua
 
KOZ NGUMU KULIKO ZOTE DUNIANI NI ENGINEering, law ,medicine,na accountin and finance
 
Mm nikisoma koz yoyote yenye maelezo mengi ambayo inanihitaji kushusha point zaidi ya kumi kwa kitu kimoja..mfano elezea kuanguka kwa oyo empire nashindwa kujaza point.
Ila ukiniuliza nielezee mechanism ya life processes naweza.(naweza kozi za medicine ila siwezi kuthubutu wa sociology) and vice-versa is true kwa mtu tofauti

Hakuna kitu kirahisi wala kigumu.
 
Kung'oa kucha na meno bila ganzi.
 
...........Haijalishi gari linapanda au linashuka mlima, tahadhali ni lazima........
 
Hakuna coz ngumu dunian hapa ndio maana watu wanazisoma hapa ni suala la akili tu nasivinginevyo
 
Wakuu nahitaji maoni ipi ni kozi ngumu kuliko zote? Je ni udaktari(medicine)? Sheria(law)? Uinjinia(engineering)Au ipi?
Kila mtu ana kozi ngumu kutegemea background yake..!!
Kwangu mimi kozi ngumu ni B.A. in Kiswahili. Hata hiyo Law nakamua tu...
 
Ikishakuwa ngumu ndo ufanyeje sasa kwa mfano?
Ukasome au?

Wakuu nahitaji maoni ipi ni kozi ngumu kuliko zote? Je ni udaktari(medicine)? Sheria(law)? Uinjinia(engineering)Au ipi?



Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…