Kozi ya afya niliyochaguliwa inanichanganya...

Kozi ya afya niliyochaguliwa inanichanganya...

Menapitatu

Senior Member
Joined
May 12, 2013
Posts
195
Reaction score
86
Wadau wa JF nimechaguliwa kozi ya Health distrct management sasa sijaielewa hii kozi inakuaje, nafasi zake za ajira ziko vipi?? Na pia hawa ndo watu gani??? Mm sikuichagua nilichagua crinical medicine naomba ushauri wako ..... Nikasome au nitafute nafasi nyingine
 
Sio bure hata mke watakuchagulia.
crinical medicine ndio kitu gani ? CLINICAL MEDICINE
 
Utakuwa unaenda kukagua kama watu wana vyoo na wanavitumia kweli!
 
ni katibu wa afya sio afisa afya, nenda kasome ni nzuri sana!
 
DOGO nenda haraka achana na hawa wanaokukatisha tamaa. Mimi miaka ya 47 nilichaguliwa mchepuo wa sayansi - PCM mwenzangua akagauguliwa Biashara basi ajkatokea jamaa akaniambia eti wewe utakuwa unatibu kuku wa huyu mwenzio kwani umechagua vibaya. Ukweli ni kwamba mambo yaliniendea vizuri tu na sasa nipo ktk post za Mngmt na huyo mwenzangu kwa vigezo vya kawaida mambo hayakwenda vizuri. hivyo wewe nenda kule kuna post nzuri bali ufanye chini juu u-perform vizuri

Nyati
 
kutafuta opportunity nxingine utapata shida wew nenda kaisome
 
Nenda arifu kasome elimu ni mtaji ila majungu si mtaji so usisikilze majungu
 
Back
Top Bottom