Shaaban Haufi
Member
- Apr 18, 2014
- 75
- 10
Usisome kwa kufikiria utaajiriwa wapi. Soma unachopenda na kinachoweza kuwa na future kwa dunia ijayo na ambacho aghalabu waweza jiajiri mwenyewe. Toa mentality ya kuajiriwa. Fikiria nje ya utumwa wa kuajiriwa. Nafasi za kazi zinajazwa kila mwaka. Course mpya zinaanzishwa kila mwaka. Vizuri kuwasiliana na chuo kinachotoa kozi husika kujua ukimaliza unakuwa na uwezo wa kufanya kazi zipi. Lakini sio Jamiiforums.
Usisome kwa kufikiria utaajiriwa wapi. Soma unachopenda na kinachoweza kuwa na future kwa dunia ijayo na ambacho aghalabu waweza jiajiri mwenyewe. Toa mentality ya kuajiriwa. Fikiria nje ya utumwa wa kuajiriwa. Nafasi za kazi zinajazwa kila mwaka. Course mpya zinaanzishwa kila mwaka. Vizuri kuwasiliana na chuo kinachotoa kozi husika kujua ukimaliza unakuwa na uwezo wa kufanya kazi zipi. Lakini sio Jamiiforums.
Habari yenu wana JF,Mimi nasoma EGM Pale KAHORORO BOYS,Ndoto zangu ni kusoma hesabu na computer. Swali langu: je, endapo nikifaulu vizuri advanced mathematics,nikachagulia kujiunga na chuo kikuu Kwa kozi ya MATHEMATICS&INFORMATICS,Naweza kufanya kazi gani,tofauti na kuwa mwalimu? Nawatakia kazi njema ya kuelimisha jamii.