akilikubwa
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 590
- 108
Wasalam wanajf.
mimi nimemaliza form six 2011 nilipata Economics-D,Geography-E,na A/maths-E,Gs-S.Div III-14.je naweza kupata kusoma ardhi university nikapata mkopo?
Naombeni mnisaidie wakubwa zangu na wenyeuelewa na hili.mtaani kubaya jamani bila elimu.
ASANTENI NAOMBA MAONO YENU
mimi nimemaliza form six 2011 nilipata Economics-D,Geography-E,na A/maths-E,Gs-S.Div III-14.je naweza kupata kusoma ardhi university nikapata mkopo?
Naombeni mnisaidie wakubwa zangu na wenyeuelewa na hili.mtaani kubaya jamani bila elimu.
ASANTENI NAOMBA MAONO YENU